Tanzania ina amani kwamsaada wa marekani

Tanzania ina amani kwamsaada wa marekani

kwastlema

Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
85
Reaction score
38
Tanzania yetu tangu Uhuru haikutokea umwagaji damu kwakuwa tupo na baba yetu marekani ,,pia RUSSIA hana maslahi na Tanzania kama ilivyo mmarekani , niseme tu kuwa BRICS VS G7 wakivurugana kwenye maslahi ndani ya nchi maana yake nchi hiyo itakuwa kama Syria hivi sasa,,,, Tz inaamani kwakuwa BRICS hawana maslah zaidi ,,, marekani wanatuibia alafu tunawapa pongezi kwa malipo yakutupa amani ya kinafiki, ,,
 
Back
Top Bottom