Tanzania ina mambo ya ajabu sana; Uhamiaji inanyima watu wanaotusaidia uchumi work permits, wanapofunga ofisi na kuaga Serikali inawaomba wasiondoke!


Tafuta kuna uzi humu ndani wa hao jamaa zako baadhi waneoana wanaume kwa wanaume. Ilikuwa ni aibu kubwa kwa Taifa.

Queen Esther
 

Uko sahihi mkuu. Hili swala zima likipaswa kuwa la uhamiaji kwa nje lakini ndani wizara ya kazi ikawa na rights katika mchakato. Au likawa swala la wizara ya kazi na idara ya uhamiani ikawa na rights katika mchakato. Haileti mantiki mtu aliyepata work permit akakosa resident status wakati kazi zinafanyika ndani ya nchi. Na ndio maana nchi nyingine work permit inatolewa kwa pamoja na resident permit katika idara moja ya kazi!! Ila ukiomba resident permit, wewe ni wa idara ya uhamiaji. Kenya ni mfano!!

Ukiritimba ndio vyanzo vya haya yote!!
 
Ndio maana watu wanasistiza Magufuli ajikite kwenye mifumo. Ku-deal na hizi issues kama isolated cases haitatupeleka popote. Anaweza kusikia hili akaamrisha hawa watu wapewe work permits mara moja na kuwatukana hata kuwatumbua watendaji waliowakwamisha. Lakini hilo halitatui tatizo lililopo.
 
Walikujakujaje hapa nchini? Wanachojishughulisha nayo imesaidia nini nchi hii so far toka wamekwepo hapa nchini? Bila wao kuwepo nini kitatokea?. Kuna mahali wanaita Yaedachini wilayani Karatu ambapo kuna NGOs zaidi ya 50 ambayo yote yanajifanya kuhangaika na ukombozi wa jamii ya Hadzabe na Barbaig lakini hakuna aliyekombolewa, badala NGOs hizo zinajistawisha tu. Ngorongoro the samw. Achana na hizo biashara, let them go.
 
Hapa lazima kuna jambo ambalo mleta mada hulielewi. Tafuta kufahamu undani wa sababu za kukataliwa work permit. Hawa watu usiwachezee wengine huingia kwenye nchi zetu na malengo marefu na ya hatari sana kwa Taifa. Usiharakishe kuilaumu serikali.
 
Kila nchi Ina utaratibu wake ndugu, siyo suala la kuwekeza au kuoa na kuzalisha, permanent resident permit Ina mambo mengi, unaweza kuwa mwizi,jasusi, illegal immigrants,
Hutaki kufuata Sheria za nchi . Hapo permanent residency sahau kabisa. Hata nchi za dunia ya Kwanza unaweza kukaa miaka 50 lakini kila ukiomba unapigwa chini, kama unajiusisha na mambo kinyume na sheria za nchi hiyo. Mfano USA, Japan, Australia etc.
 
Huyu jamaa inawezekana ana bwana wake kanyimwa resident permit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…