Duh kwahiyo jamaa wanaongoza kwa kupokea misaada?Ati unauliza Kenya itakuwa wapi kwani hujui itakuwa wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtaendelea kuwa na uchumi usio sadifu yaliyomo,
Wachina watakuwa wamewanyoosha kweli kweli,
Mtaendelea kupokea misaada ya chakula kama kawaida
Hapa kwenye hii list mtakuwa mmefika namba moja
Bila kusahau unemployment rate itakuwa imeongezeka mara dufu,
Hizi ni baadhi tu.
Wanafunzi 50,000 walipata shule za kusomea? Niliwacha shule zimekuwa hazitoshi.Mtakuwa hapo hapo mlipo
Kwani mko wapi nyie
Mnadanganywa na uchumi wa kwenye makaratasi uhalisia ni zero
Nchi ya uchumi wakati wanafunzi wanakalia Mawe!!!View attachment 1337149
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kipindi hichi naona misaada ikiongezeka zaidi kwa sababu nzige wanawafanyia uharibifu kweli kweli.
Ati unauliza Kenya itakuwa wapi kwani hujui itakuwa wapi πππ
Mtaendelea kuwa na uchumi usio sadifu yaliyomo,
Wachina watakuwa wamewanyoosha kweli kweli,
Mtaendelea kupokea misaada ya chakula kama kawaida
Hapa kwenye hii list mtakuwa mmefika namba moja
Bila kusahau unemployment rate itakuwa imeongezeka mara dufu,
Hizi ni baadhi tu.
Kunyans entrepreneurs.Tungekua mbali sana, sema tunaburuzwa na maelfu ya hawa watu ambao wameitoroka nchi yao na kujazana sana huku
https://www.facebook.com/video.php?v=10159392962280405
Hawawezi kujilisha wenyeweKunyans entrepreneurs.
Hawa wa humu ni vilaza mnoo.Hawawezi kujilisha wenyewe
Wana sherehekea Uchumi wa kati Hewa!!
Hawa jamaa vilaza sio mchezo
Ila wakenya nje ya jf wanajitambua sana
Kuliko haya yaliyomo humu
Yaani 2025! [emoji1] Alafu azma yenyewe ya kuvuka hadi middle income ni yao, ila wanavomwaga mipovu humu utadhani ni sisi ndio tuliwapangia.2025
...na ushamba wa kiujamaa ujamaa pia. Umasikini(multidimension) @54% ya watanzania 60 million! Alafu atasikia mtu akikuambia eti GDP ya Kenya ni ya kwenye makaratasi. [emoji1] Sasa GDP yao kiduchu kwa nchi kubwa hivyo na yenye watu wengi kiasi hicho si ndio itakuwa ya hewa? Alafu GDP yenyewe inakuwa kwa rate ya 3-4%! πYaani safari yenyewe ndefu, halafu kikubwa ambacho huwaponza hawa ni elimu na uzembe, wakifanyia kazi hivyo vitu viwili wanaweza wakanusia nyuma ya Kenya.
Hapa Jf huwezi fahamu maisha ya mtu kwa kusoma jina lake. Watu wengi wanakuja huku kujifurahisha tu.Hawawezi kujilisha wenyewe
Wana sherehekea Uchumi wa kati Hewa!!
Hawa jamaa vilaza sio mchezo
Ila wakenya nje ya jf wanajitambua sana
Kuliko haya yaliyomo humu