Ndunguru Charles
New Member
- May 2, 2024
- 1
- 0
Kuelekea uchumi wa viwanda Tanzania ina ulazima wa kusimama imara katika nyanja mbalimbali za ubunifu wa kiteknolojia, uwepo wa nguvu kazi, malighafi, wawekezaji, ambapo tegemezi lake Kubwa ni miundombinu kama vile barabara na umeme ambapo vitu hivi ndivyo vimekua ni gumzo kubwa na kufanya wananchi wasielekeze nguvu zao katika kujiajili.
Hivyo basi kuelekea katika mango mkakati huo na kusiwe na muingiliano wa matumizi ambayo ndio kikwazo chanya ya haya yote na kuelekeza nguvu katika ubunifu wa hawa tulionao mfano huyu aliyegundua umeme wa sumaku ambazo mashine hizo zingetumika katika uwekezaji wa viwanda ambapo pesa kubwa ingetumika kununulia mashine izo kitu ambacho ni rahisi na salama kwa wawekezaji ili huo utokanao na vyanzo vyetu ungebaki katika matumizi ya wananchi pamoja na mataasisi binafsi na Yale ya uma mfano shule, hospitali, nyumba za ibada na hata katika mashirika ya usafirishaji ambayo yatawekeza katika fursa ya maendeleo yaliyoanzishwa na serikali yenyewe "treni za umeme" ili pasiwe na mkanganyiko na muingiliano husababishao mgawo na ongezeko la bei ya huduma hiyo.
Charles
Hivyo basi kuelekea katika mango mkakati huo na kusiwe na muingiliano wa matumizi ambayo ndio kikwazo chanya ya haya yote na kuelekeza nguvu katika ubunifu wa hawa tulionao mfano huyu aliyegundua umeme wa sumaku ambazo mashine hizo zingetumika katika uwekezaji wa viwanda ambapo pesa kubwa ingetumika kununulia mashine izo kitu ambacho ni rahisi na salama kwa wawekezaji ili huo utokanao na vyanzo vyetu ungebaki katika matumizi ya wananchi pamoja na mataasisi binafsi na Yale ya uma mfano shule, hospitali, nyumba za ibada na hata katika mashirika ya usafirishaji ambayo yatawekeza katika fursa ya maendeleo yaliyoanzishwa na serikali yenyewe "treni za umeme" ili pasiwe na mkanganyiko na muingiliano husababishao mgawo na ongezeko la bei ya huduma hiyo.
Charles
Upvote
1