herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 30
Nilipata kuwepo katika ofisi moja ya serikali katika maongezi ya apa na pale mtu mmoja akuliza swali
TANZANIA INAJENGWA NA NANI?
baada ya kuuliza kila mmoja alikuwa akisema yake wengine walisema tanzania inajengwa waandi,
wengine walianza kuelezea toka Tanzania ilipotoka ila kuna mmoja alinishangaza sana
ALIPOSEMA TANZANIA INAJENGWA NA mikopo....
ivi jiulize swali vp kuusu shule za kata zisizo na madawati, Je tunasubiri serikali ije inunue madawati?
au ndo tunasubiri watu wa wamerekani waje kununua ayo madawati, vp tukiandamana shule zisizo na ubora
za kata zifungwe,
swali ni kwako JE TANZANIA INAJENGWA NA NANI?
ni VIPI UNASHIRIKI KUIJENGA TANZANIA?
NA NI VIPI UNASHIRIKI KUIBOMOA TANZANIA?
TANZANIA INAJENGWA NA NANI?
baada ya kuuliza kila mmoja alikuwa akisema yake wengine walisema tanzania inajengwa waandi,
wengine walianza kuelezea toka Tanzania ilipotoka ila kuna mmoja alinishangaza sana
ALIPOSEMA TANZANIA INAJENGWA NA mikopo....
ivi jiulize swali vp kuusu shule za kata zisizo na madawati, Je tunasubiri serikali ije inunue madawati?
au ndo tunasubiri watu wa wamerekani waje kununua ayo madawati, vp tukiandamana shule zisizo na ubora
za kata zifungwe,
swali ni kwako JE TANZANIA INAJENGWA NA NANI?
ni VIPI UNASHIRIKI KUIJENGA TANZANIA?
NA NI VIPI UNASHIRIKI KUIBOMOA TANZANIA?