Tanzania inaliwa sio mchezo, Wachina 100 walikua wanachimba dhahabu kimya kimya kwenye mgodi mmoja

Tanzania inaliwa sio mchezo, Wachina 100 walikua wanachimba dhahabu kimya kimya kwenye mgodi mmoja

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hii inatia huruma na hasira japo sio Mtanzania, yaani dah! Kibaya zaidi wote hao wameingizwa kinyemela na Watanzania wenyewe.
Watu mnapigwa kulia kushoto hadi namhurumia mkulu wenu japo anapiga makelele sana dhidi ya majizi, sijui kama mnamskliza kweli, mfumo wa ufisadi Tz umekita mizizi mpaka basi, sio kazi ya mtu mmoja ategemewe kufumua....ipo siku mtakubali kuiga Kenya na kupata katiba mpya ili asitegemewe mtu mmoja kwenye vita dhidi ya ufisadi

--------------------------------------


Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkoa wa Geita imewakamata raia 100 kutoka China wakituhumiwa kuendesha shughuli za uchimbaji wa dhahabu  kinyemela katika mgodi wa dhahabu wa Eagle Brand uliopo Kata ya Magenge Mkoani Geita.
Operesheni hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa  wa Geita, Mhandishi Robert Gabriel amesema watapita kwenye migodi yote usiku na mchana ili kuwakamata wageni wanaofanya kazi kinyemela.
Afisa Kazi Mkoa wa Geita, Bw.Mohamedi Majaliwa amesema wageni walioingia nchini kinyume na sheria watalipa faini Shilingi Milioni kumi pamoja na kifungo cha miaka miwili jela kwa kukiuka sheria ya ajira.
Msimamizi wa mgodi huo, ambaye ni raia wa kigeni amekiri kuwa na wafanyakazi hao bila kibali akieleza kuwa utaratibu wa kutafuta vibali unaendelea.
 
Hii inatia huruma na hasira japo sio Mtanzania, yaani dah! Kibaya zaidi wote hao wameingizwa kinyemela na Watanzania wenyewe.
Watu mnapigwa kulia kushoto hadi namhurumia mkulu wenu japo anapiga makelele sana dhidi ya majizi, sijui kama mnamskliza kweli, mfumo wa ufisadi Tz umekita mizizi mpaka basi, sio kazi ya mtu mmoja ategemewe kufumua....ipo siku mtakubali kuiga Kenya na kupata katiba mpya ili asitegemewe mtu mmoja kwenye vita dhidi ya ufisadi

--------------------------------------


Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkoa wa Geita imewakamata raia 100 kutoka China wakituhumiwa kuendesha shughuli za uchimbaji wa dhahabu kinyemela katika mgodi wa dhahabu wa Eagle Brand uliopo Kata ya Magenge Mkoani Geita.
Operesheni hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Geita, Mhandishi Robert Gabriel amesema watapita kwenye migodi yote usiku na mchana ili kuwakamata wageni wanaofanya kazi kinyemela.
Afisa Kazi Mkoa wa Geita, Bw.Mohamedi Majaliwa amesema wageni walioingia nchini kinyume na sheria watalipa faini Shilingi Milioni kumi pamoja na kifungo cha miaka miwili jela kwa kukiuka sheria ya ajira.
Msimamizi wa mgodi huo, ambaye ni raia wa kigeni amekiri kuwa na wafanyakazi hao bila kibali akieleza kuwa utaratibu wa kutafuta vibali unaendelea.
Acha kudanganya wewe, hawa wameingia wanafanya kazi bila vibali.

Nyamahuna ni mgodi ulisajiliwa na unalipa kodi
Serikali yetu inafuatilia ndio maana tunakamata na kuwarudisha makwao

Ingekuwa KE.
 
Acha kudanganya wewe, hawa wameingia wanafanya kazi bila vibali.

Nyamahuna ni mgodi ulisajiliwa na unalipa kodi
Serikali yetu inafuatilia ndio maana tunakamata na kuwarudisha makwao

Ingekuwa KE.

Nimedanganya kivipi wakati nimeleta taarifa kama zlivyo, umesoma kweli kabla wewe kuandika za kwako.
 
Nimedanganya kivipi wakati nimeleta taarifa kama zlivyo, umesoma kweli kabla wewe kuandika za kwako.

thats why tumesomba wote kwa Karandinga na kuwaburuza Korokoroni
 
Hii inatia huruma na hasira japo sio Mtanzania, yaani dah! Kibaya zaidi wote hao wameingizwa kinyemela na Watanzania wenyewe.
Watu mnapigwa kulia kushoto hadi namhurumia mkulu wenu japo anapiga makelele sana dhidi ya majizi, sijui kama mnamskliza kweli, mfumo wa ufisadi Tz umekita mizizi mpaka basi, sio kazi ya mtu mmoja ategemewe kufumua....ipo siku mtakubali kuiga Kenya na kupata katiba mpya ili asitegemewe mtu mmoja kwenye vita dhidi ya ufisadi

--------------------------------------


Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkoa wa Geita imewakamata raia 100 kutoka China wakituhumiwa kuendesha shughuli za uchimbaji wa dhahabu kinyemela katika mgodi wa dhahabu wa Eagle Brand uliopo Kata ya Magenge Mkoani Geita.
Operesheni hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Geita, Mhandishi Robert Gabriel amesema watapita kwenye migodi yote usiku na mchana ili kuwakamata wageni wanaofanya kazi kinyemela.
Afisa Kazi Mkoa wa Geita, Bw.Mohamedi Majaliwa amesema wageni walioingia nchini kinyume na sheria watalipa faini Shilingi Milioni kumi pamoja na kifungo cha miaka miwili jela kwa kukiuka sheria ya ajira.
Msimamizi wa mgodi huo, ambaye ni raia wa kigeni amekiri kuwa na wafanyakazi hao bila kibali akieleza kuwa utaratibu wa kutafuta vibali unaendelea.

Hivi unajua leo tu ni Nyuzi ngapi za kuhusu Tanzania umefungua humu? Unaiwaza sana Tanzania
Una shughuli ya kukuingizia kipato kweli?
 
hahah aisee ni shedaah mazee...tz
imeliwa imeishaa geita yamebaki mahandaki ya hatari....mchina hapa anakomba komba tu mabaki alafu asepe....mabeberu hayafaii ahh!
 
Acha kudanganya wewe, hawa wameingia wanafanya kazi bila vibali.

Nyamahuna ni mgodi ulisajiliwa na unalipa kodi
Serikali yetu inafuatilia ndio maana tunakamata na kuwarudisha makwao

Ingekuwa KE.
Angoje fine watakayopigwa!
 
hahah aisee ni shedaah mazee...tz
imeliwa imeishaa geita yamebaki mahandaki ya hatari....mchina hapa anakomba komba tu mabaki alafu asepe....mabeberu hayafaii ahh!

Jamaa wanaliwa kila kona, kila wakigeuza kichwa, mabeberu huku Machina kule, sijui wengine akina nani hata Waturuki utaskia nao kuna litaibuka huko maana Watz wazembe sana kwenye kusoma mikataba.
 
Hivi unajua leo tu ni Nyuzi ngapi za kuhusu Tanzania umefungua humu? Unaiwaza sana Tanzania
Una shughuli ya kukuingizia kipato kweli?

Hehehee!! Unachekesha wewe, siku hizi unaongoza kwenye kuanzisha nyuzi dhidi ya Kenya halafu unakua wa kwanza kulia lia hapa mkitajwa kidogo.
 
wote mia moja sijui upelelezi wao utakamilika lini,na lugha gongana mpaka waje wafikishwe mahakamani.
 
Hii inatia huruma na hasira japo sio Mtanzania, yaani dah! Kibaya zaidi wote hao wameingizwa kinyemela na Watanzania wenyewe.
Watu mnapigwa kulia kushoto hadi namhurumia mkulu wenu japo anapiga makelele sana dhidi ya majizi, sijui kama mnamskliza kweli, mfumo wa ufisadi Tz umekita mizizi mpaka basi, sio kazi ya mtu mmoja ategemewe kufumua....ipo siku mtakubali kuiga Kenya na kupata katiba mpya ili asitegemewe mtu mmoja kwenye vita dhidi ya ufisadi

--------------------------------------


Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkoa wa Geita imewakamata raia 100 kutoka China wakituhumiwa kuendesha shughuli za uchimbaji wa dhahabu kinyemela katika mgodi wa dhahabu wa Eagle Brand uliopo Kata ya Magenge Mkoani Geita.
Operesheni hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa wa Geita, Mhandishi Robert Gabriel amesema watapita kwenye migodi yote usiku na mchana ili kuwakamata wageni wanaofanya kazi kinyemela.
Afisa Kazi Mkoa wa Geita, Bw.Mohamedi Majaliwa amesema wageni walioingia nchini kinyume na sheria watalipa faini Shilingi Milioni kumi pamoja na kifungo cha miaka miwili jela kwa kukiuka sheria ya ajira.
Msimamizi wa mgodi huo, ambaye ni raia wa kigeni amekiri kuwa na wafanyakazi hao bila kibali akieleza kuwa utaratibu wa kutafuta vibali unaendelea.
Wajoy wapi Sasa? Wamekamatwa. Sio Kama nyie watumwa wa wazungu.. Rais anazunguka Kila Kona kuwafuata wazungu
 
Back
Top Bottom