Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #41
Kama wajumbe watapuuza kilio cha watanzania na hasa wadau wa soka, Mungu atawaadhibuPamoja sana Yericko. Wajumbe jamani Sikilizeni Kilio Chetu. TUCHAGULIENI JAMAL EMIL MALINZI
Lamgambo limelia lazima tusimame wima kuhakikisha kuwa tunampata kipngozi thabiti katika soka letu,Tz kila sekta ni mbovu kutokana na kutowapa nafasi watu wanaoweza na ambao umma unawahitaji badala yake wanaletwa wale ambao matokeo yake ni hapa tulipo,nchi imedumbukia shimoni na bado tunawabeba watu kama Nyamlani
Acheni propaganda ,soka sio siasa kwa kigezo gani unaweza kumlinganisha Jamal Malinzi na Joao Havelange?
Aliyofanya Havelange, Malinzi hata 10% hajafanya
Usilete propaganda za siasa kwenye michezo nina mashaka kama unamjua vizuriHizo kumi ndio tunazipigania azifanye Malinzi kwa soka letu
Usilete propaganda za siasa kwenye michezo nina mashaka kama unamjua vizuri
Tumuunge mkono Jamal
Mkuu Matola,I strong support Jamal Malinzi. Nukta.
Nyamlani akaendelee kula pesa za rushwa mahakama ya kinondoni. Hakimu mla rushwa hafai kabisa kuruhusiwa hata kukanyaga ofisi za TFF.
Inawezekana mchezo wa soka huujui mkuu,
Hujui kuwa kwenye soka ndiko siasa ya kweli ipo?
Malinzi ni mwarobaini wa soka letu
Inawezekana mchezo wa soka huujui mkuu,
Hujui kuwa kwenye soka ndiko siasa ya kweli ipo?
Malinzi ni mwarobaini wa soka letu
Kwani wewe hujaona mambo mazuri ya Malinzi au ndio akili zako za kushikiwa na wakina Gentamycine?Yericko Nyerere una maoni gani baada ya miaka 4 ya Malinzi?
Naona uko kazini ,mwambie akuongezee hela anayokulipa unajitahidi kumteteaKwani wewe hujaona mambo mazuri ya Malinzi au ndio akili zako za kushikiwa na wakina Gentamycine?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Wewe unalipwa na nani hapa?Naona uko kazini ,mwambie akuongezee hela anayokulipa unajitahidi kumtetea