Tanzania inanufaika na madini kuliko nchi kuliko nchi nyingi za afrika.Case study ni Botswana ambao wanaitafuta share ya 30% ambayo tunayo siku nyingi

Tanzania inanufaika na madini kuliko nchi kuliko nchi nyingi za afrika.Case study ni Botswana ambao wanaitafuta share ya 30% ambayo tunayo siku nyingi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Yaani ukiwasililiza Machadema wanavyoropoka na kupayuka huko kuhusu kile wanaita Rasilimali za Nchi unaweza dhani labda sisi hapa Tanzania tunapata hasara au hatupati kitu kuliko Nchi zingine za Afrika.

Mara nyingi wamekuwa wanatolea mfano Nchi za Botswana na Namibia kwamba zinanufaika sana na Madini Yao lakini Kiuhalisia unakuwaga ni uzushi na ujinga.

Just Imagine Botswana eti Leo hii ndio wanatafuta kuwa na 30% ya Mauzo ya Madini Yao ya Diamond ambapo Kwa miaka mingi sana walikuwa na 25% vs 75% ya Wawekezaji.

Hii Botswana ni mfano mmja tuu wa Nchi ambazo tumezipiga Bado Kwa kuwa na sheria na sera nzuri za Madini maana sisi Tanzania tumeenda mbali zaidi Yao na kuwataka wawe wanatoa CSR,kuzingatia sheria ya local content na kutoa service levy apart from Kodi na mrahaba.

My Take
🇹🇿 Ni Mwalimu wa wengi hapa Afrika ,wale ropo ropo wawe wanatafuta taarifa kabla ya kuropoka Botswana, the country with the biggest diamonds, gets an improved 10-year deal with miner De Beers
Screenshot_20250227-155135.jpg
 
Yaani ukiwasililiza Machadema wanavyoropoka na kupayuka huko kuhusu kile wanaita Rasilimali za Nchi unaweza dhani labda sisi hapa Tanzania tunapata hasara au hatupati kitu kuliko Nchi zingine za Afrika.

Mara nyingi wamekuwa wanatolea mfano Nchi za Botswana na Namibia kwamba zinanufaika sana na Madini Yao lakini Kiuhalisia unakuwaga ni uzushi na ujinga.

Just Imagine Botswana eti Leo hii ndio wanatafuta kuwa na 30% ya Mauzo ya Madini Yao ya Diamond ambapo Kwa miaka mingi sana walikuwa na 25% vs 75% ya Wawekezaji.

Hii Botswana ni mfano mmja tuu wa Nchi ambazo tumezipiga Bado Kwa kuwa na sheria na sera nzuri za Madini maana sisi Tanzania tumeenda mbali zaidi Yao na kuwataka wawe wanatoa CSR,kuzingatia sheria ya local content na kutoa service levy apart from Kodi na mrahaba.

My Take
🇹🇿 Ni Mwalimu wa wengi hapa Afrika ,wale ropo ropo wawe wanatafuta taarifa kabla ya kuropoka Botswana, the country with the biggest diamonds, gets an improved 10-year deal with miner De BeersView attachment 3251953
Hueelewi chochote hapo.
Almasi ya Botswana inachimbwa na Debswana halafu inauzwa kwa De Beers na ODC.

Chukua hii, Almasi yote Botswana inachimbwa na Debswana ambayo ni kampuni serikali ina umiliki/hisa kwa 50%, Debswana hawachakati Almasi kwa hiyo wanauza Almasi ghafi kwa De Beers ambao wao wanachakata na ODC ambazo ni kampuni za kupeleka sokoni. Serikali ya Botswana wakaona wanahitaji kufaidika pia na almasi yao inayoenda kwa wanunuzi wa mwisho sokoni ndio wakachukua hisa De Beers pia kwa almasi yao itakayouzwa na De Beers na ndio huu mkataba unazungumziwa hapa
 
Back
Top Bottom