Tanzania Inapaswa Kujiondoa kama mwenyeji wa Afcon 2027

Tanzania Inapaswa Kujiondoa kama mwenyeji wa Afcon 2027

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya.

Katika hali hii, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapaswa kuzingatia kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027, sio kwa ubaya.
images (86).jpeg


Uamuzi huu unaweza kuonekana kuwa mgumu na wa kukatisha tamaa, lakini ni muhimu kwa maslahi ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kushiriki katika mashindano makubwa kama Afcon kunahitaji miundombinu imara, ikiwa ni pamoja na viwanja vya kisasa, hoteli za kimataifa, na usafiri wa uhakika. Kwa sasa, Tanzania haina viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kuviendesha mashindano ya Afcon kwa mafanikio.
images (90).jpeg


Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.
images (91).jpeg


Kuendelea na wenyeji wa Afcon 2027 katika hali ya sasa kunaweza kusababisha madhara makubwa kwa soka la Tanzania. Kwanza, kuna hatari kubwa ya kushindwa kutimiza vigezo vya CAF, ambayo inaweza kusababisha kupoteza haki ya kuandaa mashindano hayo, mbeleni.
images (86).jpeg


Pili, kuandaa mashindano hayo bila miundombinu ya kutosha kunaweza kusababisha aibu kubwa kwa taifa na kuathiri vibaya taswira ya Tanzania kimataifa.
images (87).jpeg


Badala ya kusisitiza kuandaa Afcon 2027, TFF inapaswa kuzingatia kutumia muda na rasilimali zilizopo katika kuboresha miundombinu ya soka nchini.
images (89).jpeg


Hii inaweza kujumuisha ujenzi wa viwanja vipya vya kisasa, ukarabati wa viwanja vilivyopo, na kuboresha mafunzo kwa wachezaji na makocha. Pamoja na maafisa usalama ambao watakuwa mstari wa mbele kuweka amani na usalama wa taifa.
images (87).jpeg


Kujiunga na nchi nyingine katika kuandaa mashindano makubwa kama Afcon ni fursa nzuri kwa Tanzania, lakini fursa hii inapaswa kutumiwa kwa busara. Kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027 kwa sasa ni uamuzi mgumu lakini muhimu kwa maendeleo ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. TFF inapaswa kuzingatia maslahi ya soka la Tanzania kwanza kabla ya kuzingatia maslahi mengine.
images (88).jpeg


Uamuzi wa Morocco kukataa kuwa mwenyeji wa Afcon 2015 uliwashtua wengi, ila walifanya vile ili tu kujilinda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, kama ingekuwa ni nafasi amepewa Tanzania, nina uhakika watu wangeendelea na mipango kama kawaida.
images (89).jpeg


Kuna wakati jasiri ni yule ambaye hataki kukaribisha aibu akiwa anajua kabsa kinachokwenda kumtokea ni majanga. Karia kinachokwenda kutokea 2027 watanzania watakulaumu sana, magazeti na wachambuzi ambao kwa sasa wanakusifia watakuponda katika kila machapisho watakayoandika.
 
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya.

Katika hali hii, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapaswa kuzingatia kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027, sio kwa ubaya.
View attachment 3191149

Uamuzi huu unaweza kuonekana kuwa mgumu na wa kukatisha tamaa, lakini ni muhimu kwa maslahi ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kushiriki katika mashindano makubwa kama Afcon kunahitaji miundombinu imara, ikiwa ni pamoja na viwanja vya kisasa, hoteli za kimataifa, na usafiri wa uhakika. Kwa sasa, Tanzania haina viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kuviendesha mashindano ya Afcon kwa mafanikio.
View attachment 3191145

Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.
View attachment 3191144

Kuendelea na wenyeji wa Afcon 2027 katika hali ya sasa kunaweza kusababisha madhara makubwa kwa soka la Tanzania. Kwanza, kuna hatari kubwa ya kushindwa kutimiza vigezo vya CAF, ambayo inaweza kusababisha kupoteza haki ya kuandaa mashindano hayo, mbeleni.
View attachment 3191149

Pili, kuandaa mashindano hayo bila miundombinu ya kutosha kunaweza kusababisha aibu kubwa kwa taifa na kuathiri vibaya taswira ya Tanzania kimataifa.
View attachment 3191148

Badala ya kusisitiza kuandaa Afcon 2027, TFF inapaswa kuzingatia kutumia muda na rasilimali zilizopo katika kuboresha miundombinu ya soka nchini.
View attachment 3191146

Hii inaweza kujumuisha ujenzi wa viwanja vipya vya kisasa, ukarabati wa viwanja vilivyopo, na kuboresha mafunzo kwa wachezaji na makocha. Pamoja na maafisa usalama ambao watakuwa mstari wa mbele kuweka amani na usalama wa taifa.
View attachment 3191148

Kujiunga na nchi nyingine katika kuandaa mashindano makubwa kama Afcon ni fursa nzuri kwa Tanzania, lakini fursa hii inapaswa kutumiwa kwa busara. Kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027 kwa sasa ni uamuzi mgumu lakini muhimu kwa maendeleo ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. TFF inapaswa kuzingatia maslahi ya soka la Tanzania kwanza kabla ya kuzingatia maslahi mengine.
View attachment 3191147

Uamuzi wa Morocco kukataa kuwa mwenyeji wa Afcon 2015 uliwashtua wengi, ila walifanya vile ili tu kujilinda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, kama ingekuwa ni nafasi amepewa Tanzania, nina uhakika watu wangeendelea na mipango kama kawaida.
View attachment 3191146

Kuna wakati jasiri ni yule ambaye hataki kukaribisha aibu akiwa anajua kabsa kinachokwenda kumtokea ni majanga. Karia kinachokwenda kutokea 2027 watanzania watakulaumu sana, magazeti na wachambuzi ambao kwa sasa wanakusifia watakuponda katika kila machapisho watakayoandika.
Hapana, kawaida binadamu anapo pata changamoto uwezo wake wa kifikiri huongezeka, tupige moyo konde kinachotakiwa tuwe wabunifu na sisi kuweza kutoa mawazo chanya ili tufanikishe adhima hii

Kutakuwa na fursa nyingi za kibiasha hivyo kuongeza Pato la taifa, wengi wanaofanikiwa, katika maisha na biashara niwale wanao thubutu
 
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya.

Katika hali hii, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapaswa kuzingatia kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027, sio kwa ubaya.
View attachment 3191149

Uamuzi huu unaweza kuonekana kuwa mgumu na wa kukatisha tamaa, lakini ni muhimu kwa maslahi ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kushiriki katika mashindano makubwa kama Afcon kunahitaji miundombinu imara, ikiwa ni pamoja na viwanja vya kisasa, hoteli za kimataifa, na usafiri wa uhakika. Kwa sasa, Tanzania haina viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kuviendesha mashindano ya Afcon kwa mafanikio.
View attachment 3191145

Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.
View attachment 3191144

Kuendelea na wenyeji wa Afcon 2027 katika hali ya sasa kunaweza kusababisha madhara makubwa kwa soka la Tanzania. Kwanza, kuna hatari kubwa ya kushindwa kutimiza vigezo vya CAF, ambayo inaweza kusababisha kupoteza haki ya kuandaa mashindano hayo, mbeleni.
View attachment 3191149

Pili, kuandaa mashindano hayo bila miundombinu ya kutosha kunaweza kusababisha aibu kubwa kwa taifa na kuathiri vibaya taswira ya Tanzania kimataifa.
View attachment 3191148

Badala ya kusisitiza kuandaa Afcon 2027, TFF inapaswa kuzingatia kutumia muda na rasilimali zilizopo katika kuboresha miundombinu ya soka nchini.
View attachment 3191146

Hii inaweza kujumuisha ujenzi wa viwanja vipya vya kisasa, ukarabati wa viwanja vilivyopo, na kuboresha mafunzo kwa wachezaji na makocha. Pamoja na maafisa usalama ambao watakuwa mstari wa mbele kuweka amani na usalama wa taifa.
View attachment 3191148

Kujiunga na nchi nyingine katika kuandaa mashindano makubwa kama Afcon ni fursa nzuri kwa Tanzania, lakini fursa hii inapaswa kutumiwa kwa busara. Kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027 kwa sasa ni uamuzi mgumu lakini muhimu kwa maendeleo ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. TFF inapaswa kuzingatia maslahi ya soka la Tanzania kwanza kabla ya kuzingatia maslahi mengine.
View attachment 3191147

Uamuzi wa Morocco kukataa kuwa mwenyeji wa Afcon 2015 uliwashtua wengi, ila walifanya vile ili tu kujilinda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, kama ingekuwa ni nafasi amepewa Tanzania, nina uhakika watu wangeendelea na mipango kama kawaida.
View attachment 3191146

Kuna wakati jasiri ni yule ambaye hataki kukaribisha aibu akiwa anajua kabsa kinachokwenda kumtokea ni majanga. Karia kinachokwenda kutokea 2027 watanzania watakulaumu sana, magazeti na wachambuzi ambao kwa sasa wanakusifia watakuponda katika kila machapisho watakayoandika.
Umepoteza muda wako kuandika upuuzi hapa. Hujui kuwa Tanzania inajenga viwanja huko Arusha na Dodoma na vile vile ku-upgrade Mkapa? Kenya nayo inajenga Uwanja wa Talanta na kupgrade Nyayo, Kasarani na Moi kwa sababu hiyo, Uganda nayo inajenga uwanja mpya wa Hoima na ku-pgrade Nambolee na Nakivubo.

Huelewi kwa nini nchi host wa mashindano yoyote ya kimataifa hupewa mda wa miaka mitatu hadi minne kuandaa miundo mbinu inayohitajika? Tanzania/Kenya/Uganda tuliteuliwa mwaka 2023 ikiwa ni miaka minne hadi mashindano yenyewe. Ni vivyo hivyo hata FIFA world cup, Marekani/ Canada/Mexico waliteuliwa mwaka 2022 wakati mashindano yanfanyika 2026.
 
Kweli akili huna kuamini kwamba wewe unaweza kufanya hiyo analysis na kuona serikali imejaa watu wasiojielewa!

Unajua hata ku comment hapa kwa Raha ukiwa na internet chumbani kwako ni mchango was serikali?
 
Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.

Kwamba hauna taarifa kwamba kutakuwa na viwanja vingine vipya Arusha (hiki kimeanza kujengwa) na Dodoma?
 
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya.

Katika hali hii, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapaswa kuzingatia kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027, sio kwa ubaya.
View attachment 3191149

Uamuzi huu unaweza kuonekana kuwa mgumu na wa kukatisha tamaa, lakini ni muhimu kwa maslahi ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kushiriki katika mashindano makubwa kama Afcon kunahitaji miundombinu imara, ikiwa ni pamoja na viwanja vya kisasa, hoteli za kimataifa, na usafiri wa uhakika. Kwa sasa, Tanzania haina viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kuviendesha mashindano ya Afcon kwa mafanikio.
View attachment 3191145

Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.
View attachment 3191144

Kuendelea na wenyeji wa Afcon 2027 katika hali ya sasa kunaweza kusababisha madhara makubwa kwa soka la Tanzania. Kwanza, kuna hatari kubwa ya kushindwa kutimiza vigezo vya CAF, ambayo inaweza kusababisha kupoteza haki ya kuandaa mashindano hayo, mbeleni.
View attachment 3191149

Pili, kuandaa mashindano hayo bila miundombinu ya kutosha kunaweza kusababisha aibu kubwa kwa taifa na kuathiri vibaya taswira ya Tanzania kimataifa.
View attachment 3191148

Badala ya kusisitiza kuandaa Afcon 2027, TFF inapaswa kuzingatia kutumia muda na rasilimali zilizopo katika kuboresha miundombinu ya soka nchini.
View attachment 3191146

Hii inaweza kujumuisha ujenzi wa viwanja vipya vya kisasa, ukarabati wa viwanja vilivyopo, na kuboresha mafunzo kwa wachezaji na makocha. Pamoja na maafisa usalama ambao watakuwa mstari wa mbele kuweka amani na usalama wa taifa.
View attachment 3191148

Kujiunga na nchi nyingine katika kuandaa mashindano makubwa kama Afcon ni fursa nzuri kwa Tanzania, lakini fursa hii inapaswa kutumiwa kwa busara. Kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027 kwa sasa ni uamuzi mgumu lakini muhimu kwa maendeleo ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. TFF inapaswa kuzingatia maslahi ya soka la Tanzania kwanza kabla ya kuzingatia maslahi mengine.
View attachment 3191147

Uamuzi wa Morocco kukataa kuwa mwenyeji wa Afcon 2015 uliwashtua wengi, ila walifanya vile ili tu kujilinda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, kama ingekuwa ni nafasi amepewa Tanzania, nina uhakika watu wangeendelea na mipango kama kawaida.
View attachment 3191146

Kuna wakati jasiri ni yule ambaye hataki kukaribisha aibu akiwa anajua kabsa kinachokwenda kumtokea ni majanga. Karia kinachokwenda kutokea 2027 watanzania watakulaumu sana, magazeti na wachambuzi ambao kwa sasa wanakusifia watakuponda katika kila machapisho watakayoandika.
Ukisikia uchawi ndiyo huu sasa. Nani kakwambia kwamba itashindwa kuandaa, yaani Uganda waweze sisi tushindwe. Roho mbaya haijengi na siyo kwamba una lengo la kushauri ila roho yako ni mbaya na ya kibaguzi.
 
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya.

Katika hali hii, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapaswa kuzingatia kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027, sio kwa ubaya.
View attachment 3191149

Uamuzi huu unaweza kuonekana kuwa mgumu na wa kukatisha tamaa, lakini ni muhimu kwa maslahi ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kushiriki katika mashindano makubwa kama Afcon kunahitaji miundombinu imara, ikiwa ni pamoja na viwanja vya kisasa, hoteli za kimataifa, na usafiri wa uhakika. Kwa sasa, Tanzania haina viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kuviendesha mashindano ya Afcon kwa mafanikio.
View attachment 3191145

Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.
View attachment 3191144

Kuendelea na wenyeji wa Afcon 2027 katika hali ya sasa kunaweza kusababisha madhara makubwa kwa soka la Tanzania. Kwanza, kuna hatari kubwa ya kushindwa kutimiza vigezo vya CAF, ambayo inaweza kusababisha kupoteza haki ya kuandaa mashindano hayo, mbeleni.
View attachment 3191149

Pili, kuandaa mashindano hayo bila miundombinu ya kutosha kunaweza kusababisha aibu kubwa kwa taifa na kuathiri vibaya taswira ya Tanzania kimataifa.
View attachment 3191148

Badala ya kusisitiza kuandaa Afcon 2027, TFF inapaswa kuzingatia kutumia muda na rasilimali zilizopo katika kuboresha miundombinu ya soka nchini.
View attachment 3191146

Hii inaweza kujumuisha ujenzi wa viwanja vipya vya kisasa, ukarabati wa viwanja vilivyopo, na kuboresha mafunzo kwa wachezaji na makocha. Pamoja na maafisa usalama ambao watakuwa mstari wa mbele kuweka amani na usalama wa taifa.
View attachment 3191148

Kujiunga na nchi nyingine katika kuandaa mashindano makubwa kama Afcon ni fursa nzuri kwa Tanzania, lakini fursa hii inapaswa kutumiwa kwa busara. Kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027 kwa sasa ni uamuzi mgumu lakini muhimu kwa maendeleo ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. TFF inapaswa kuzingatia maslahi ya soka la Tanzania kwanza kabla ya kuzingatia maslahi mengine.
View attachment 3191147

Uamuzi wa Morocco kukataa kuwa mwenyeji wa Afcon 2015 uliwashtua wengi, ila walifanya vile ili tu kujilinda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, kama ingekuwa ni nafasi amepewa Tanzania, nina uhakika watu wangeendelea na mipango kama kawaida.
View attachment 3191146

Kuna wakati jasiri ni yule ambaye hataki kukaribisha aibu akiwa anajua kabsa kinachokwenda kumtokea ni majanga. Karia kinachokwenda kutokea 2027 watanzania watakulaumu sana, magazeti na wachambuzi ambao kwa sasa wanakusifia watakuponda katika kila machapisho watakayoandika.
Umesema ukiachana na uwanja wa Mkapa na Amani kule Zanzibar hudhani kama kuna uwanja mwingine!! Sijajua ni kwa bahati mbaya, au ni makusudi! Kwa kutoujumuisha na uwanja wa Azam Complex!!

Na bado kuna uwanja umeshaanza kujengwa Mkoani Arusha kwa ajili ya hayo mashindano. Na ujenzi mpaka sasa umeshafikia asilimia kadhaa!! Kwa hiyo sioni kama kuna sababu ya msingi ya kujitoa.

Na kuhusu miundombinu ya usafiri na hoteli, pia sioni kama ni sababu ya msingi! Kwa sababu siyo watu watakaokuja kwa ajili ya hayo mashindano watahitaji hoteli za nyota 5 pekee!!
 
Umepoteza muda wako kuandika upuuzi hapa. Hujui kuwa Tanzania inajenga viwanja huko Arusha na Dodoma na vile vile ku-upgrade Mkapa? Kenya nayo inajenga Uwanja wa Talanta na kupgrade Nyayo, Kasarani na Moi kwa sababu hiyo, Uganda nayo inajenga uwanja mpya wa Hoima na ku-pgrade Nambolee na Nakivubo.

Huelewi kwa nini nchi host wa mashindano yoyote ya kimataifa hupewa mda wa miaka mitatu hadi minne kuandaa miundo mbinu inayohitajika? Tanzania/Kenya/Uganda tuliteuliwa mwaka 2023 ikiwa ni miaka minne hadi mashindano yenyewe. Ni vivyo hivyo hata FIFA world cup, Marekani/ Canada/Mexico waliteuliwa mwaka 2022 wakati mashindano yanfanyika 2026.
Embu tuma picha za ujenzi wa uwanja wa Dodoma unavyoendelea,
simuungi mkono mtoa mada, ila na wewe na serikali mnatudanganya, tunaona uwanja wa Arusha ndio unajengwa huo wa Dodoma ni siasa tu
 
Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya.

Katika hali hii, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapaswa kuzingatia kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027, sio kwa ubaya.
View attachment 3191149

Uamuzi huu unaweza kuonekana kuwa mgumu na wa kukatisha tamaa, lakini ni muhimu kwa maslahi ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kushiriki katika mashindano makubwa kama Afcon kunahitaji miundombinu imara, ikiwa ni pamoja na viwanja vya kisasa, hoteli za kimataifa, na usafiri wa uhakika. Kwa sasa, Tanzania haina viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kuviendesha mashindano ya Afcon kwa mafanikio.
View attachment 3191145

Ukiachana na Uwanja wa Mkapa, pamoja na New Amani Complex, sidhani kama tuna kiwanja kingine chenye hadhi ya kuchezesha michezo ya kimataifa kama Afcon.
View attachment 3191144

Kuendelea na wenyeji wa Afcon 2027 katika hali ya sasa kunaweza kusababisha madhara makubwa kwa soka la Tanzania. Kwanza, kuna hatari kubwa ya kushindwa kutimiza vigezo vya CAF, ambayo inaweza kusababisha kupoteza haki ya kuandaa mashindano hayo, mbeleni.
View attachment 3191149

Pili, kuandaa mashindano hayo bila miundombinu ya kutosha kunaweza kusababisha aibu kubwa kwa taifa na kuathiri vibaya taswira ya Tanzania kimataifa.
View attachment 3191148

Badala ya kusisitiza kuandaa Afcon 2027, TFF inapaswa kuzingatia kutumia muda na rasilimali zilizopo katika kuboresha miundombinu ya soka nchini.
View attachment 3191146

Hii inaweza kujumuisha ujenzi wa viwanja vipya vya kisasa, ukarabati wa viwanja vilivyopo, na kuboresha mafunzo kwa wachezaji na makocha. Pamoja na maafisa usalama ambao watakuwa mstari wa mbele kuweka amani na usalama wa taifa.
View attachment 3191148

Kujiunga na nchi nyingine katika kuandaa mashindano makubwa kama Afcon ni fursa nzuri kwa Tanzania, lakini fursa hii inapaswa kutumiwa kwa busara. Kujiondoa katika wenyeji wa Afcon 2027 kwa sasa ni uamuzi mgumu lakini muhimu kwa maendeleo ya soka la Tanzania kwa muda mrefu. TFF inapaswa kuzingatia maslahi ya soka la Tanzania kwanza kabla ya kuzingatia maslahi mengine.
View attachment 3191147

Uamuzi wa Morocco kukataa kuwa mwenyeji wa Afcon 2015 uliwashtua wengi, ila walifanya vile ili tu kujilinda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, kama ingekuwa ni nafasi amepewa Tanzania, nina uhakika watu wangeendelea na mipango kama kawaida.
View attachment 3191146

Kuna wakati jasiri ni yule ambaye hataki kukaribisha aibu akiwa anajua kabsa kinachokwenda kumtokea ni majanga. Karia kinachokwenda kutokea 2027 watanzania watakulaumu sana, magazeti na wachambuzi ambao kwa sasa wanakusifia watakuponda katika kila machapisho watakayoandika.
Kwani vinahitajika viwanja vingapi?
Hadi sasa kuna
Mkapa
Karume Zanzibar
Azam Complex
 
Tanzania isingefaa kuyaandaa hayo mashindano kwani nchi ina mambo mengi sana ya kufanya lakini serikali inakwepa na kujihusisha na mambo ya muda mfupi yasiyo na manufaa kwa wananchi walio wengi.

Mwaka 2014 kombe la dunia la kabumbu lilipofanyika nchini Brazil wananchi wengi wa nchi hiyo waliandamana kupinga kwa sababu kama hizo nilizotaja hapo juu.

Serikali ingetilia maanani huduma za afya ambazo ni duni sana katika nchi hii na magonjwa yasiyoambukiza yakiongezeka kwa kasi huku watanzania walio wengi wakiwa wanakufa kwa kushindwa kumudu gharama za tiba huku serikali ikiwekeza kwenye vitu vya kipuuzi visivyosaidia wananchi ambao wanasingizia kwamba ndio wamewaweka madarakani. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom