abudist
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 850
- 781
Waziri Mkuu wa Uingereza ameazimia kuivunja idara ya kimataifa ya misaada na maendeleo Department for International Development (DfID). Kwa kuona inatumia pesa bila ufanisi na Uingereza haifaidiki.
Na moja ya nchi iliyotajwa kufaidika zaidi ni Tanzania kuliko hata nchi za ulaya mashariki ambazo pia zinapata misaada hiyo. Kumbe sisi tunapata misaada mingi ya huyu 'Beberu' lakini pia hata hatuambiwi na serikali yetu? Au ndiyo Baniani mbaya kiatu chake dawa? Dah na hiyo misaada tunapewa bure siyo mikopo aghali
ya wachina.
Hapa chini ni baadhi ya maneno ya Waziri Mkuu Boris Johnson:
"Kwa muda mrefu sana, misaada ya nje ya Uingereza imekuwa kama eneo kubwa la pesa angani, ambayo hufika bila kumbukumbu yoyote ya masilahi ya Uingereza," Waziri mkuu alisema.
.
Johnson alihalalisha uamuzi huo, akisema: "DfID inasimamia Ofisi ya nje zaidi ya mara nne na bado hakuna mtu anayefanya uamuzi katika idara yoyote anaweza kuungana juhudi zetu au kuchukua muhtasari kamili."
Aliongeza: "Tunatoa msaada mkubwa kwa Zambia kama tunavyofanya kwa Ukraine, ingawa mwisho ni muhimu kwa usalama wa Ulaya. Tunatoa msaada wa mara 10 kwa Tanzania kama tunavyofanya kwa nchi sita za Balkan za magharibi, ambazo zina hatari ya kujiingiza katika Urusi. "
Source: Three ex-PMs attack plan to merge DfID with Foreign Office
Na moja ya nchi iliyotajwa kufaidika zaidi ni Tanzania kuliko hata nchi za ulaya mashariki ambazo pia zinapata misaada hiyo. Kumbe sisi tunapata misaada mingi ya huyu 'Beberu' lakini pia hata hatuambiwi na serikali yetu? Au ndiyo Baniani mbaya kiatu chake dawa? Dah na hiyo misaada tunapewa bure siyo mikopo aghali
ya wachina.
Hapa chini ni baadhi ya maneno ya Waziri Mkuu Boris Johnson:
"Kwa muda mrefu sana, misaada ya nje ya Uingereza imekuwa kama eneo kubwa la pesa angani, ambayo hufika bila kumbukumbu yoyote ya masilahi ya Uingereza," Waziri mkuu alisema.
.
Johnson alihalalisha uamuzi huo, akisema: "DfID inasimamia Ofisi ya nje zaidi ya mara nne na bado hakuna mtu anayefanya uamuzi katika idara yoyote anaweza kuungana juhudi zetu au kuchukua muhtasari kamili."
Aliongeza: "Tunatoa msaada mkubwa kwa Zambia kama tunavyofanya kwa Ukraine, ingawa mwisho ni muhimu kwa usalama wa Ulaya. Tunatoa msaada wa mara 10 kwa Tanzania kama tunavyofanya kwa nchi sita za Balkan za magharibi, ambazo zina hatari ya kujiingiza katika Urusi. "
Source: Three ex-PMs attack plan to merge DfID with Foreign Office