Waliotuita watu weusi manyani sijui waliwaza nini,ila ukitafakari kea umakini ukaweka chuki pembeni utagundua Ni kweli.
Sidhani Kama ishu ya utajiri na umasikini wa Africa tunahitaji uchambuzi kutoka kwa watu weupe kwamba eti Tanzania ni nchi tajiri wakati % zaidi ya 80 hawawezi kuafford Milo mitatu achana na afya Bora,malazi na mavazi.Hawa watu ukiwaambia tupo kwenye top ten ya nchi tajiri Africaa watacheka Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.