CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Hawayatoi ila watoto huchagua kasoro history ambayo haisomwi kabisa (ni msingi wa masomo ya arts)Soma vizuri upya na uelewe, nimesema shule special huwa zinatoa baadhi ya masomo yanayosomwa na shule za kawaida ili kupisha masomo mengine special maalum.
Mifano ni hizi shule za technical si wote wanasoma biology, geography na history
Asante kwa kuelewa, Na ndio maana nilishasema tangu mwanzoni shule zinazohusika ni special schools kama hizo technicalHawayatoi ila watoto huchagua kasoro history ambayo haisomwi kabisa (ni msingi wa masomo ya arts)
Mfano after form two some kids huchagua between biology au geography na huenda nayo hadi form four,,, and by the way ni technical schools ziko hvo,, other than that hakuna shule inayo specialise na kutoa masomo mengine nevaaa
Ni kweli unvyosema semaView attachment 2590366
Haya ni majanga, sina uhakika ila ikibidi mnisahishe ila niliwahi kuona nchi kama Kenya hapo hizo shule zipo, Huko Rwanda wapo next levels wala si wa kucompare nao.
Hivi katika ulimwengu huu ambao tunazidi kujionea jinsi mifumo ya computers inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya uchumi, biashara, government administration, private life, n.k. inaingia akilini kweli kwamba tunakosa hata shule maalum hata moja tu ya kuwaandaa watoto wenye vipaji vya hivi vitu ama interest na bidii ya kujifunza ?
Kama sio kutengeneza utegemezi mpya kwa maksudi kabisa ni nini hiki ?
Huwa hatuoni aibu watu kuanza kujifunza haya mambo mpaka wafike vyuoni tayari washaanza kunyoa ndevu ?
Nimeona kuna kombi ya computer ya PMC lakini niliwahi kuifatilia nikaaona bado sana, ni mara kumi tu hata mtu aende chuoni aanzie certificate maana huko shuleni hampo huru kutumia laptops, somo la computer ni moja tu, waakim wanaofundisha nao ni stress tu, n.k. na hapo bado wanaoenda kusoma ni wale ammbao wapo kwenye kingo za late teenage ages (17 - 19)
Ingependeza kuwe na shule ya kuanzia form 1 iwe maalum kwajili ya mambo ya computer zaidi.... masomo kama biology na history yanawekwa pembeni huko yanafidiwa na masomo mengine ya computer, kuwe na computer labs ambazo mda wote zipo wazi, kuwe na unlimited internet yenye speed kali, watoto wawe wanakwenda kwenye mashindano yoyte kama yapo, n.k.
Rais Samia nae nilisikia anapita pita humu ila nae sijui kama anagusa hili jukwaa, Mama unaupiga mwingi sana ila jaribu pia kuupiga kwenye ulimwengu huu ambao mambo ya Tehama yamekuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, piga na huku nasi tusiwe wategemezi kupita kiasi kwenye vitu hivi vinavyoibadili dunia,
Hii nchi hapana ndio nchi yetu ila inachoshaa mno kuna katabia sahivi watumishi hasa hawa wa .com wanavikampuni basi kila tender wanajirushia kwenye kampuni zao hutoboi..Ni kweli unvyosema sema
1 .Nchi yetu wengi wanategemea kuajiriwa na hi tasnia ya teham haija komaa kama unakumbuka kipindi cha JK wengi walikimbila kusom computer science sasa hv n jobless couse ynyew wanaitumia kam kuanzisha stationery mtaan.
2. Mtazamo wa wazazi , "ukisoma omputer unakua nani" inabaki kuw kam side husle
3. Kama 4G yenyew ni shida computer mashulen tutaweza?
4. Wasom walioenda nje kusoma computer course huwa hawarudi hawaomini fursa ten bongo.
4. Nchi yetu bila hajira hautoboi. Tuseme ulisoma tehama Aya ma bundle yenyewe sio rafiki
Wa nigeria wanasoma tehama wanajiajiri kuw ma hacher. Bongo uta mu hack nani? Kifup nchi haisapoti haya mambo
Napita tu.......
KIla mtu anajali. Tumbo lake kwanzaHii nchi hapana ndio nchi yetu ila inachoshaa mno kuna katabia sahivi watumishi hasa hawa wa .com wanavikampuni basi kila tender wanajirushia kwenye kampuni zao hutoboi..
Na hii tabia wamecopy kwa wanasiasa hii tz hakuna mwanasiasa mbunge ambaye hana kampuni wote wanagombnia tender za barabara, tehama sijui za afya na maji yaani.
Automatic mfumo tulionao unauwa vipaji starting company za vijana.
Sababu hata uje na kitu kinzuri wenzako wanabeba wanapitishia kampuni yao mambo yanaenda.
Na wakiona hawataweza kuiga wanaki ignore basi ndio kilichomkuta Fernandes..na kinawakuta vijana wengi sana.