Tanzania - India Relations: Hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee zinatosha sana

Tanzania - India Relations: Hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee zinatosha sana

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Mambo vp jamiiforums.

Mama yetu Liberata Mulamula, hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee (bila kutuma pesa) zinatosha sana.
==========
aqasdedcvfsde.jpg

==========
Juhudi za kimataifa zinaendelea katika kujaribu kuisaidia India wakati nchi hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa oksijeni baada ya kuongezeka kwa visa vya Covid.

Uingereza imeanza kutuma vifaa vya kusaidia kupumua na vifaa vya kusaidia kutengeneza oksijeni. Nchi wanachama wa EU pia wanajiandaa kutuma misaada.

Marekani imekwisha aondoa marufuku ya kutuma malighafi nje ya mipaka yake, hivyo kuiwezesha India kutengeneza chanjo zaidi ya AstraZeneca. Delhi mji mkuu wa India umeongeza muda wake wa katazo la watu kutoka nje (lockdown) wakati huo hospitali zilizojaa utitiri wa watu zinaendelea kuwarudisha wagonjwa makwao.

Aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania Dr. JPM siku alipokutana na rafiki yake Waziri Mkuu wa India.
==========
images.jpg

==========
Serikali ya Urusi imeidhinisha mipango ya kutuma mitambo zaidi ya 500 ya uzalishaji wa oksijeni kwenda India ili kuongeza vifaa. India iliripoti visa 349,691 zaidi katika muda wa saa 24 hadi Jumapili asubuhi (April 25, 2021) na vifo vingine 2,767, hata hivyo takwimu za kweli zinafikiriwa kuwa kubwa zaidi.

Alipofariki mume wa malkia wa Uingereza Prince Philip, tulijitahidi sana kwa kuwapa pole ndugu zetu wa Uingereza. Pongeze sana kwa Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan pamoja na timu yake.
==========
aqasdedcvf.jpg

==========
SWALI: Mama yetu Liberata Mulamula, hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa nchini India? Hata salamu za pole pekee?
==========
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Hupendi maponjoro kabisa?
mm dada zao nawapenda kinoma akina Lekha na zureikha ngoja niwasaidie
Wahindi na Waarabu baba na mama yao ni mmoja! Wanatubagua sana watu wenye ngozi nyeusi.

Yaani hao akina Lekha na Zureikha, utaishia tu kuwatamani au hata kupita nao tu! Ila familia yake ikigundua tu, wako radhi kumtenga na kumpa laana binti yao! Kisa tu ametembea na mtu mweusi.

Siku zote hutuchukulia sisi kama kizazi cha watumwa. Binafsi siwashobokei kabisa.
 
Kwani si kuna barakoa tulisaidiwaga na hazikutumika, kama vipi tuwapasie tu.
 
Mkuu, India watu wanakufa kama kuku kwa maana hakuna kabisa Oxygen na serikali yao imenyoosha mikono juu. Hii ndio habari inayotrend huko Al Jazeera, CNN na BBC. Mungu waokoe Wahindi wale.
Wako wengi sana hao! Hawataisha. Corona ni ugonjwa tu wa mlipuko. Utapita tu na maisha yataendelea, kama ulivyo tusumbua na sisi miezi michache iliyopita.
 
Halafu mchina ilikoanzia Corona kimya kama vile haoni! Hata kama wana bifu la muda mrefu, kwa majanga yaliyoikumba India, aweke bifu pembeni! Crematoriums zimejaa, maiti zinachomwa popote viwanjani na viwanja navyo kama vimezidiwa, kuni zimeisha yaani daaah!
 
... halafu mchina ilikoanzia Corona kimya kama vile haoni! Hata kama wana bifu la muda mrefu, kwa majanga yaliyoikumba India, aweke bifu pembeni! Crematoriums zimejaa, maiti zinachomwa popote viwanjani na viwanja navyo kama vimezidiwa, kuni zimeisha yaani daaah!
Mkuu, inawezekana China inaendeleza ile falsafa ya adui yako muombee njaa
 
... atakuwa wa ajabu sana akifanya hivyo! Kwenye majanga tunapaswa kuwa wamoja Mkuu.
Mkuu, mimi kuna jamaa alinidhulumu 210,000/= mwaka juzi 2019. Nilipata habari baba yake alikufa katika ajali ya gari na mama yake kujeruhiwa vibaya katika ajali hiyo hiyo moja mwaka jana wa 2020 hata sijaenda kumpa pole. Pesa yangu inauma sana aisee.
 
Back
Top Bottom