Tanzania ingekuaje leo kama Oscar S. Kambona angewahi kuwa Rais wa Jamhuri? Tutafakari kwa Jicho Pevu

Tanzania ingekuaje leo kama Oscar S. Kambona angewahi kuwa Rais wa Jamhuri? Tutafakari kwa Jicho Pevu

BBC DIRA

Member
Joined
May 5, 2020
Posts
52
Reaction score
50
Ndugu zangu,

Ni kweli historia ndio mhimili wa usuli wa taifa lolote. Tumesoma na kufunzwa mengi kuhusu, Nyerere, lakini pia tumechokonoa mengi kuhusu Kambona. Je, hivi leo, najiuliza, kama Kambona angelipewa nafasi ya juu. Nchi yetu ingekuwa na picha gani?
 
Udokozi wangu kihistoria unaonyesha Kambona alikua Brilliant na Visionary. Alikua Critical na azimio la Arusha[uvijiji] swala ambalo ni donda sugu mpaka leo kwa Taifa letu.

Kambona alipendelea democracy na uhuru wa kujieleza, swala ambalo mpaka leo linapepesuka na kubakia jinamizi.

Aidha Kambona aliamini kwamba kiongozi shariti akubali kukosolewa[criticized] ila Nyerere na wengine hawakutaka hilo. Kijumla Kambona alivisualize a progressive society sio retrogressive, na inavyoonekana hapa ndipo tulipo.
 
Kambona alitaka tuige demokrasia ya Wazungu kwa 100%

Tungefanya hivyo tusingekuwa na utaifa km tulionao sasa, tungekuwa Nchi ya wajinga km Kenya
Udokozi wangu kihistoria unaonyesha Kambona alikua Brilliant na Visionary. Alikua Critical na azimio la Arusha[uvijiji] swala ambalo ni donda sugu mpaka leo kwa Taifa letu. Kambona alipendelea democracy na uhuru wa kujieleza, swala ambalo mpaka leo linapepesuka na kubakia jinamizi. Aidha Kambona aliamini kwamba kiongozi shariti akubali kukosolewa[criticized] ila Nyerere na wengine hawakutaka hilo. Kijumla Kambona alivisualize a progressive society sio retrogressive, na inavyoonekana hapa ndipo tulipo.
 
Kambona alitaka tuige demokrasia ya Wazungu kwa 100%

Tungefanya hivyo tusingekuwa na utaifa km tulionao sasa, tungekuwa Nchi ya wajinga km Kenya
Una maana kwamba hakuna ujinga Tanzania! na huu unaouita utaifa umetufikisha wapi?
 
Tafadhali tujikite ktk Mada, tuwe reflective kama wanahistoria maana historia hujirudia.......
 
kiufupi limeturudisha nyuma kimaendeleo kitaifa na kwa mtu mmoja mmoja , bado hatujachelewa kujenga misingi bora ya kulivusha taifa letu kwenye hatua iliyo bora zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Kambona aliona mbali sana[visionary], na inasikitisha juhudi kubwa zimefanyika kufuta jina lake ktk historia ya Tanzania! Je! kama Nyerere angekubali ushauri wa Kambona Tungekuwa wapi kama Jamhuri?
 
Na Kambona aliona mbali sana[visionary], na inasikitisha juhudi kubwa zimefanyika kufuta jina lake ktk historia ya Tanzania! Je! kama Nyerere angekubali ushauri wa Kambona Tungekuwa wapi kama Jamhuri?
nina huzuni kubwa kuona legendary kama oscar kambona kutowekwa katika history ya Tanganyika , najaribu kuwaza aliwakosea nini viongozi wa wakati hule maana walimchafua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nina huzuni kubwa kuona legendary kama oscar kambona kutowekwa katika history ya Tanganyika , najaribu kuwaza aliwakosea nini viongozi wa wakati hule maana walimchafua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kulikuwa na unafiki mkubwa sana, Lakini Kambona popote alipo anatuhurumia kwa sababu, aliyoyapendekeza yaliopuuzwa na kushtakiwa kwa kutaka kuipindua serikali! Hili nalo ni la kinafki maana Kambona ndiye alituliza Army Mutiny ya 1964, wakati Nyerere na Kawawa walijificha vichakani! Mbona Kambona hakuidhinisha maasi ya Jeshi kama alikuwa na njama, kama walivyodai Nyerere? Tunahoji.
 
Back
Top Bottom