Dance Macabre
Member
- May 6, 2024
- 32
- 61
Inavyoonekana serikali ya Kinshansa haina muda na usalama huko DRC mashariki. Wala hakuna matumaini ya kuwa kutakuja kukaa sawa. Tz ingehakikisha tu majimbo ya DRC inayopakana nayo ya Tanganyika na S. Kivu yanakuwa nchi huru kila moja kisha iachane na habari za DRC.