Wewe ongea juu ya future sisi tukiongea juu ya present πππ tuta, tunaand that Selander bridge will have flyovers at both ends!
Kibaka Highway hata haijakamilika...hebu Kwanza week picha ya hako kabarabara πππunajua kwamba hata kwenye flyovers huna cha kutamba! Dar-Kibaha highway ina several flyovers pia! Ni mpumbavu wa Kikunya anaweza kuweka post hii!
Mulisaaa kwani bwana alipiga wewe talaka??πππ Karibu Tena Nairobi...Engineer fake bado huwa upo....??
Btw ubungo interchange itawavuruga sana,sio hayo mawe mmepanga hapo NBO kila kona, hamna flyover hata moja yenye quality ya mfugale na hii sio kwa NBO tu ni kenya yoteNjoo uzione, wacha hako kamoja mlipewa na Mjapani ambako Watanzania wa mikoani mkifika Dar lazima muende kupigiwa picha hapo.
Subiri tukamilishe ile ya kutoka JKIA hadi Westlands....
Pana kuliko zenu zote hapo jamhuri ya nyang'auKibaka Highway hata haijakamilika...hebu Kwanza week picha ya hako kabarabara [emoji23][emoji23][emoji23]
Weka picha wacha longolongoπππPana kuliko zenu zote hapo jamhuri ya nyang'au
Btw ubungo interchange itawavuruga sana,sio hayo mawe mmepanga hapo NBO kila kona, hamna flyover hata moja yenye quality ya mfugale na hii sio kwa NBO tu ni kenya yote
How many lanes?Pana kuliko zenu zote hapo jamhuri ya nyang'au
Uchafu mtupuMfungale mbona mtoto sana wa juzi, vitu vipo huu mji yaani utadhani Ulaya, kuna watu wa kutokea Ulaya wakija hushangaa kukuta tofauti sana yale huambiwa na media.
Kenya inakwenda kwa kasi sana, mimi mwenyewe nikikawia kuzunguka zunguka huwa najikuta nikipotea njia. Juzi nimekua pale Ngong road nikawa najiuliza mara kadhaa.
Mwanzoni hizi flyover tulikua tunaziona kama dili, jinsi nyie mnazishangaa shangaa maana ndio mnaanza, sisi tushazichoka, vitu vinapishana na kuzungukana
Dar is building a 3rd flyover at Ubungo after Kigamboni's n Tazara's. Another will be at Chang'Ombe n another at Uhasibu with DART project!
Tanzania building electric rail at half price of Kenyaβs diesel Standard Gauge Railway line.So hiyo inamanisha that Tanzania to Nairobi ratio in terms of flyovers is 1:25.
11000 km of bitumen standard road network in tz to date,heading to 21,000 km till 2025,+ more than 1500 km of electrical railway line wakenya mkasome Tz inapaaHahahaha bado mko nyuma sana. Mpo zaidi ya miaka kumi kwenye ujenzi wa barabara ukilinganisha na Kenya
Tz is nit building a flyover, it is an interchange get it right plsTanzania is currently building a flyover in Dar es salaam using donation money, this is their second flyover allover the country and after mfugale flyover which was funded using grant money from Japan. On the other hand Nairobi alone has more than 50 flyovers, overpasses and interchanges combined and others are still under construction. This is an example of flyover which getting built right now. View attachment 1214688
Dont be stupid, you said flyovers, footbridge etc combined. If you combine all those we have more than 50and what is the ratio of their lands?
Hii hata zile za Kigamboni kabla ya Darajani ni nzuri sana. Wakenya mna matatizo sana. Hicho kidubwana uchwara nacho ni fly over?Flyovers zenyewe ndio hizi? 10 meters of burnt bricks flyovers [emoji23][emoji23]View attachment 1214699
Why are you painting your roads and claim they are brtsThey think all cities around the world have BRTs.
Sasa hapo cha ajabu ni nini hasa?Mfungale mbona mtoto sana wa juzi, vitu vipo huu mji yaani utadhani Ulaya, kuna watu wa kutokea Ulaya wakija hushangaa kukuta tofauti sana yale huambiwa na media.
Kenya inakwenda kwa kasi sana, mimi mwenyewe nikikawia kuzunguka zunguka huwa najikuta nikipotea njia. Juzi nimekua pale Ngong road nikawa najiuliza mara kadhaa.
Mwanzoni hizi flyover tulikua tunaziona kama dili, jinsi nyie mnazishangaa shangaa maana ndio mnaanza, sisi tushazichoka, vitu vinapishana na kuzungukana
4lanes with a reserve space for brt lanesHow many lanes?