Tanzania is leading in East Africa.

Kwani mtu akiwekeza leo anaaza kilipa kodi kesho? Kodi inalipwa pale biashara imeanza na inapata faida. Investment alizosema Majaliwa, unweza usione kodi yake sio chini ya miaka mitano baadae. These are long term investments ambazo inabidi zijengwe kwanza kabla ya uzalishaji.
 
Mtashinda mkirudia hii kitu kama wimbo wa chekechea? Ni kama hamujiamini. Mkiongoza kwa jambo lolote tu, mnapiga makelele kama paka yenye inataka kuzaa.
Juzi juzi walishinda siku nzima wakiniambia watz hawajishuhulishi na ranking. .. sasa angalia vile wanajaza kurasa
 
Unaongelea upumbavu gani hapa?
Mapato ya kodi yameshuka source ya hii pumba yako kutoka TRA ipo wapi? Au hayo mapato ni ya wapi?

JPM kapandisha ukusanyaji kutoka billion 800 kwa mwezi mpaka trillion 1.3 ongezeko la zaidi ya billion 500 alafu unasema kodi imeshuka?

Dumb as hell
 
Hiyo 1.3T Mara ya mwisho ilikuwa lini? Tangu mwaka huu umeanza umeshasikia tena zile mbwembwe za TRA kutangaza makusanyo ya Kila mwezi? You know why hawatangazi? Jiongeze wewe
 
Hiyo 1.3T Mara ya mwisho ilikuwa lini? Tangu mwaka huu umeanza umeshasikia tena zile mbwembwe za TRA kutangaza makusanyo ya Kila mwezi? You know why hawatangazi? Jiongeze wewe
Jiongeze maana yake nini kwenye fact driving topics? Hapa huongei na wala kashata wa kwenye vibanda umiza kijana, hapa ukiongea ni facts mbele, leta ushahidi wenye akili sio mataputapu
 
Watanzania Wanazinguana Kwa Hoja Halafu Mtu Anaona Ni Bonge La Shoo, sijui Angesheherekea Vipi Kama Wangekuwa Wanazinguana Kwa Mapanga Na Moto Kama Ilivyowahi Kutokea Kenya Miaka Michache Iliyopita.
 
Watanzania Wanazinguana Kwa Hoja Halafu Mtu Anaona Ni Bonge La Shoo, sijui Angesheherekea Vipi Kama Wangekuwa Wanazinguana Kwa Mapanga Na Moto Kama Ilivyowahi Kutokea Kenya Miaka Michache Iliyopita.
Wewe nawe bana acha kisirani kwani mtu hawezi akafurahi kuona mjadala ambao umechangamka? Naongea kuhusu hoja zinazozungumziwa hapa. Wewe unayewaza kuhusu mapanga na vurugu ndio ujastaarabika hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…