Tanzania is officially an authoritarian state.

Tanzania is officially an authoritarian state.

DX7sdYCVwAEupUw.jpg
Ila sio siri kwamba kila uchao mzee anazidi 'kutoklezea' kweli kweli. Wenye wivu wajinyonge. 😎
 
Miradi inayowapa pressure 1.stiglers gorge dam worth $2.5bn to generate 2150MW once completed
2.Electrified SGR Dar -Mwanza 1219km, Isaka Kigali,tabora kigoma. ..

3.Expansion of dar port
4.industrialization
5.more roads are upgraded to bitumen standard's
Hapa pressure lazima zipande

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena so kidogo. Bado ndege ya mizigo ambayo tutakuwa tunauzia mchicha USA [emoji23] [emoji23] [emoji23]

God save us
 
Miradi inayowapa pressure 1.stiglers gorge dam worth $2.5bn to generate 2150MW once completed
2.Electrified SGR Dar -Mwanza 1219km, Isaka Kigali,tabora kigoma. ..
3.Expansion of dar port
4.industrialization
5.more roads are upgraded to bitumen standard's
Hapa pressure lazima zipande
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina nani hao wanapata pressure? Maanake naona hapo kwa taarifa waliouliza maswali ni wabunge wa Tz. Yaani shirika la maswala ya usafiri wa anga mzee amewapokonya wataalamu kwenye wizara na akalihamisha hadi kwenye ofisi ya rais. Alafu lile la uwekezaji akalihamisha kutoka kwa wizara ya biashara na viwanda hadi kwenye ofisi ya waziri mkuu. Hapo Jiwe kaua! Hongera zake.
 
Kina nani hao wanapata pressure? Maanake naona hapo kwa taarifa waliouliza maswali ni wabunge wa Tz. Yaani shirika la maswala ya usafiri wa anga mzee amewapokonya wataalamu kwenye wizara na akalihamisha hadi kwenye ofisi ya rais. Alafu lile la uwekezaji akalihamisha kutoka kwa wizara ya biashara na viwanda hadi kwenye ofisi ya waziri mkuu. Hapo Jiwe kaua! Hongera zake.
Msingekua mnapata pressure hizi habar mngezipotezea,btw JPM anakomaa sana maana kuna wakora humu hawajishtukii yani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miradi inayowapa pressure 1.stiglers gorge dam worth $2.5bn to generate 2150MW once completed
2.Electrified SGR Dar -Mwanza 1219km, Isaka Kigali,tabora kigoma. ..

3.Expansion of dar port
4.industrialization
5.more roads are upgraded to bitumen standard's
Hapa pressure lazima zipande

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau Terminal 3 ambayo inakuja kukafanya ka airport kao kawe kama ka mbilikimo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora afanye hivyo labda atafaulu kufanikisha kitu, maana awamu hii ya tano hamna kimoja kilichokamilika na kuonekana.
Ripoti ya CAG inaonyesha makajanja ni kama walifunguliwa na kuachiwa kupiga zaidi ya awamu zote.
Asipohodhi huduma zote ili ziongozwe moja kwa moja kutoka ikulu, atakamilisha awamu bila chochote cha kuonyesha.
 
Miradi inayowapa pressure 1.stiglers gorge dam worth $2.5bn to generate 2150MW once completed
2.Electrified SGR Dar -Mwanza 1219km, Isaka Kigali,tabora kigoma. ..

3.Expansion of dar port
4.industrialization
5.more roads are upgraded to bitumen standard's
Hapa pressure lazima zipande

Sent using Jamii Forums mobile app
These are the people we are talking about.

Micro management seems good when happening but people realize they were fvcked afterwards. I hope you are old enough to remember the Moi era. People loved him while he ruled. People used to sing him songs. Politicians who criticized him were stoned by the citizens. It is only years later that we realize he fvcked us big time. Without him, Kenya would be on the same level as Algeria. Tanzania is exactly where Kenya was during the Moi era - probably worse. At least during the Moi era we did several street demonstrations against the president and even attempted a coupe.
 
These are the people we are talking about.
Micro management seems good when happening but people realize they were fvcked afterwards. I hope you are old enough to remember the Moi era. People loved him while he ruled. People used to sing him songs. Politicians who criticized him were stoned by the citizens. It is only years later that we realize he fvcked us big time. Tanzania is exactly where Kenya was - probably worse. At least during the Moi era we did several street demonstrations against the president and even attempted a coupe.
The earliest clear memories of my childhood were tagging along with my father and uncles and seeing them dancing, singing 'Tawala Kenya Tawala' for Moi and shaking their index fingers while shouting, jogoo! I tried reminiscing about that with one of my 'small fathers' some time back and all he could do was shake the same index finger, but at me, as a warning to keep my mouth shut about 'our' little secret.
 
These are the people we are talking about.

Micro management seems good when happening but people realize they were fvcked afterwards. I hope you are old enough to remember the Moi era. People loved him while he ruled. People used to sing him songs. Politicians who criticized him were stoned by the citizens. It is only years later that we realize he fvcked us big time. Without him, Kenya would be on the same level as Algeria. Tanzania is exactly where Kenya was during the Moi era - probably worse. At least during the Moi era we did several street demonstrations against the president and even attempted a coupe.

Ahaaa haaa haaa
That's your perception. In bongo everything is doing well. It's only you who pop noise on others business. Go on feeling the way you do. Wishful thinkers.
 
Miradi inayowapa pressure 1.stiglers gorge dam worth $2.5bn to generate 2150MW once completed
2.Electrified SGR Dar -Mwanza 1219km, Isaka Kigali,tabora kigoma. ..

3.Expansion of dar port
4.industrialization
5.more roads are upgraded to bitumen standard's
Hapa pressure lazima zipande

Sent using Jamii Forums mobile app
Pipeline from uganda to Tanga $ 3bn
LNG project in mtwara $30bn
 
Bora afanye hivyo labda atafaulu kufanikisha kitu, maana awamu hii ya tano hamna kimoja kilichokamilika na kuonekana.
Ripoti ya CAG inaonyesha makajanja ni kama walifunguliwa na kuachiwa kupiga zaidi ya awamu zote.
Asipohodhi huduma zote ili ziongozwe moja kwa moja kutoka ikulu, atakamilisha awamu bila chochote cha kuonyesha.
Ingekuwa ni masuala ya elimu na afya ndio yanaendeshwa moja kwa moja kutoka ikulu ningemsifia sana. Ila naelewa kwamba kura za uchaguzi ujao lazima zitafutwe kutumia mbinu zote. Naona ni kama hayo mengine sio ya muhimu sana kwake.
 
Ingekuwa ni masuala ya elimu na afya ndio yanaendeshwa moja kwa moja kutoka ikulu ningemsifia sana. Ila naelewa kwamba kura za uchaguzi ujao lazima zitafutwe kutumia mbinu zote. Naona ni kama hayo mengine sio ya muhimu sana kwake.
Eti unaona, hihii. Haters bhana.
 
These are the people we are talking about.

Micro management seems good when happening but people realize they were fvcked afterwards. I hope you are old enough to remember the Moi era. People loved him while he ruled. People used to sing him songs. Politicians who criticized him were stoned by the citizens. It is only years later that we realize he fvcked us big time. Without him, Kenya would be on the same level as Algeria. Tanzania is exactly where Kenya was during the Moi era - probably worse. At least during the Moi era we did several street demonstrations against the president and even attempted a coupe.
Even Moi and Magufuli do not sound the same, guys stop pretending you're bothered about Tz as if you wish us well.
You have never.
 
Even Moi and Magufuli do not sound the same, guys stop pretending you're bothered about Tz as if you wish us well.
You have never.

You must be really doing badly on matters press freedom. Danganyika sounds like former Yugoslavia under Milosevic and his dare devil wife Mira #Kibiti massacre
 
Ila sio siri kwamba kila uchao mzee anazidi 'kutoklezea' kweli kweli. Wenye wivu wajinyonge. 😎
Lazima utakuwa unakaa/umekaa sana bongo, mpaka unajua "kutokelezea" hichi ni kile cha uswahilini ndani ndani kabisa.
 
Lazima utakuwa unakaa/umekaa sana bongo, mpaka unajua "kutokelezea" hichi ni kile cha uswahilini ndani ndani kabisa.
Hahaa! [emoji1] Nililiskia zamani alafu baadaye nikaja kulisikia tena likitumiwa kwenye sheng.
 
Back
Top Bottom