Tanzania is slowly "CRUSHING" Kenya's Economy

Tanzania is slowly "CRUSHING" Kenya's Economy

We crushing them bt to be honest naona kasi imeshuka...ile amsha amsha ya projects ni kama imepungua km sio kufa kabisa...
 
At least they had the decency to admit that Lamu port is a great white elephant suitable to grow grass for camels.

Sasa ukutane na vichwa ngunu huku watabisha even on things that are obvious.
 
We crushing them bt to be honest naona kasi imeshuka...ile amsha amsha ya projects ni kama imepungua km sio kufa kabisa...
Kipindi kile kelele na majigambo vilikua vingi wakati miradi yote ikielekea kufa kabla ya kufika mwisho.
Huyu wa sasa kaondoa kipengele cha kelele na maj8gambo na amefanikiwa kuikwamua miradi hiyo na inaelekea kuisha.
Let the success talk
 
We crushing them bt to be honest naona kasi imeshuka...ile amsha amsha ya projects ni kama imepungua km sio kufa kabisa...
Bado Hawa ni wetu, joto la 2024 na 2025 likipita hawa tunawakarakasha pindua miguu juu kichwa chini. Watakufa tartibu na mabwana zao UK na us
 
Kenya wana viwanda na bidhaa bora kuliko za Tanzania.
Kinachowatokea kitatokea Tz pia
 
Back
Top Bottom