technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
SureSerengeti imetangazwa tena kuwa ndio sehemu pekee inayoongoza kwa kuwa mbuga bora duniani.
Baada ya hiyo habari pia nikumbushe CNN walishawahi kuitangaza Tanzania kuwa ndio nchi yenye Beach bora duniani
Jamani Tanzania is beautiful wakenya sijui mnakwama wapi duh View attachment 1845986View attachment 1845987View attachment 1845988View attachment 1845989View attachment 1845990View attachment 1845991View attachment 1845992View attachment 1845993View attachment 1845994
Unasema Tanzania ni masikini wakati thamani ya miradi tunayofanya ni mara tatu ya miradi yenuHehehe!! Hilo swali ilipaswa uulize Watanzania wenzio wapi mnakwama, weje muwe na mbuga nzur kuzidi zote duniani, madini ya kumwaga na kila kitu ila umaskini umetamalaki kote kwenu huko, mnashindwa kiuchumi na kainchi kadogo kama Kenya........
Unasema Tanzania ni masikini wakati thamani ya miradi tunayofanya ni mara tatu ya miradi yenu
Kipimo kizuri cha umasikini ni nini? GDP au PPP? Embu leta data za Kenya na Tz kwenye hivi vipimo viwili halafu tujadili.Hehehe!! Hilo swali ilipaswa uulize Watanzania wenzio wapi mnakwama, weje muwe na mbuga nzur kuzidi zote duniani, madini ya kumwaga na kila kitu ila umaskini umetamalaki kote kwenu huko, mnashindwa kiuchumi na kainchi kadogo kama Kenya........
Kipimo kizuri cha umasikini ni nini? GDP au PPP? Embu leta data za Kenya na Tz kwenye hivi vipimo viwili halafu tujadili.
Nchi ni bora ila watu wake sasa ndio chengaSerengeti imetangazwa tena kuwa ndio sehemu pekee inayoongoza kwa kuwa mbuga bora duniani.
Baada ya hiyo habari pia nikumbushe CNN walishawahi kuitangaza Tanzania kuwa ndio nchi yenye Beach bora duniani
Jamani Tanzania is beautiful wakenya sijui mnakwama wapi duh View attachment 1845986View attachment 1845987View attachment 1845988View attachment 1845989View attachment 1845990View attachment 1845991View attachment 1845992View attachment 1845993View attachment 1845994
Mmh chief Acha uongo [emoji3] kwahyo TZ ina rasilimali kuliko nchi zote Africa.......Mpaka DRC sio ....Uchumi wetu tayari upo mara mbili ya uchumi wenu ilhali mkiwa na raslimali kama zote zaidi ya mataifa yote Afrika, kama sio uzembe sijui mlilaanwa nini haswa, siku zote nilijua CCM ndio ilikua inawachelewesha, akaja Magufuli ambaye hakua anaegemea kwenye CCM ila naye akaboronga balaa kwa miradi isiyokua na tija kama uwanja wa Chato ambao wakaazi wanaomba watumie kuanika mpunga.
Mmh chief Acha uongo [emoji3] kwahyo TZ ina rasilimali kuliko nchi zote Africa.......Mpaka DRC sio ....
Kwan bandari NI rasilimali?.....anyway hakuna nchi hapa Africa yenye rasilimali nyingi km DRCDRC hao wanaoitegemea Tanzania kwa bandari, hawana hata visiwa.....mjitafakari sana nani kawaroga.
Nothing beats Tanzania katika vivutio vya utalii hapa Afrika, I think South Africa comes second.Serengeti imetangazwa tena kuwa ndio sehemu pekee inayoongoza kwa kuwa mbuga bora duniani.
Baada ya hiyo habari pia nikumbushe CNN walishawahi kuitangaza Tanzania kuwa ndio nchi yenye Beach bora duniani
Jamani Tanzania is beautiful wakenya sijui mnakwama wapi duh View attachment 1845986View attachment 1845987View attachment 1845988View attachment 1845989View attachment 1845990View attachment 1845991View attachment 1845992View attachment 1845993View attachment 1845994
π€πππNothing beats Tanzania katika vivutio vya utalii hapa Afrika, I think South Africa comes second.
Kwan bandari NI rasilimali?.....anyway hakuna nchi hapa Africa yenye rasilimali nyingi km DRC