Tanzania ya Samia inapendeza na kuwaka kila kona kwa maana huyu mama ni mwanadiplomasia mzuri sana.Tunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwara wa upinzani.
Samia anatutea Waafrica dhidi ya uonevu wa mabeberu na mafisadi.Tanzania ya Samia inapendeza na kuwaka kila kona kwa maana huyu mama ni mwanadiplomasia mzuri sana.
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.Samia anatutea Waafrica dhidi ya uonevu wa mabeberu na mafisadi.
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Mambo vp jamiiforums.
Ninashauri sana nchi yetu ya Tanzania isiwe na vazi moja tu la taifa. Tuwe na mavazi rasmi matano (5) kutoka katika makabila yetu yatakayorasimishwa na kupewa hadhi ya utaifa. Yaaani kama inawezekana mpangilio uwe hivi au hata kama kura ya maoni inaweza kupigwa itakuwa sawa tu.
Picha hapo chini ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne mzee Kikwete na mkewe Mama Salma wakiwa wamependeza vizuri kabisa katika mavazi ya kabila ya Waha (baba) pamoja na Maasai (Mama)
View attachment 1718602
(1) Kaskazini - Vazi la kimaasai (Mkoa Arusha)
(2) Kusini - Vazi la Kimakonde (Mkoa Mtwara)
(3) Mashariki - Vazi la Kisambaa (Mkoa Tanga)
(4) Magharibi - Vazi la Waha (Mkoa Kigoma)
(5) Kanda ya kati - Vazi la wagogo (Mkoa Dodoma)
Nchini Afrika ya kusini wamefanya hili kwa upande wa lugha rasmi za taifa, ila sisi tunaweza kufanya hivi hivi kwa upande wa vazi rasmi la taifa.
Kwa uhalisia tu ni kwamba, huko nchini Afrika ya Kusini kuna makabila mengi sana yaliyopo katika majimbo tofauti tofauti na matokeo yake lugha zinatawala katika majimbo yao husika ambayo inafanya kuwa lugha mahususi haswa kwa eneo/mkoa husika.
Takribani lugha thelathini na tano (35) zenye asili ya Afrika Kusini huzungumzwa katika nchi hiyo, kumi kati ya hizo ni lugha rasmi za taifa la Afrika Kusini: Ndebele, Pedi, Sotho, Swati, Tsonga, Tswana, Venda, Xhosa, Zulu na Afrikaans.
Lugha rasmi ya kumi na moja ni Kiingereza, ambayo ndiyo lugha ya msingi inayotumiwa katika mazungumzo ya kibunge na kiserikali, ingawa lugha zote rasmi zina uzito sawa katika hadhi ya kisheria na katika ya nchi hiyo.
Kama katika lugha 35 kutoka nchi nzima waliweza kuchagua lugha 11 tu kutambulika kama "official languages" na Tanzania yenye makabila takribani 120 pia inaweza kuchagua mavazi kutoka makabila 5 tu kuwa ndio mavazi rasmi ya taifa ili tumalizane na hili suala kwa maana tangia lianze kujadiliwa ni zaidi ya miaka 15 sasa na bado sijaona solution ya maana mpaka sasa.
Zamani ilikuwa ni Dar es Salaam kwa kabila la wazaramo ila sasa ni Dodoma kwa wagogo ndipo kumepewa hadhi ya makao makuu ya nchi na serikali. Kama mkoa wa Dodoma umeweza kupewa hadhi hiyo na kuacha mikoa mingine, kwanini makabila matano niliyoyaorodhesha hapo juu yasiwakilishe mavazi rasmi ya taifa?
Soma pia>>> Kwanini mitaa ambamo kuna Balozi za nchi tano zenye nguvu duniani isiitwe majina ya vivutio vya utalii vya Tanzania?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Tanzania kuna mikoa mingapi? Kwanini Dodoma ndio iwe makao makuu ya nchi na sio Kilimanjaro? Soma upya makala nzima kisha utaelewa nilichokiandika.Tanzania ina makabila 5? Kwa nini hayo!?
Mabeberu na mafisadi yameanza kumpigia Rais samia magoti. Tuliwaonya Samia hajaribiwi.Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
Mama Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.Mabeberu na mafisadi yameanza kumpigia Rais samia magoti. Tuliwaonya Samia hajaribiwi.
Rais Samia analeta maendeleo kila kona ya Nchi. Hakika huyu mama ni zawadi ya Mungu kwa watanzania.Mama Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.
Huyo ndiye Samia, anamwaga mapesa Wananchi tupate huduma bora.Rais Samia analeta maendeleo kila kona ya Nchi. Hakika huyu mama ni zawadi ya Mungu kwa watanzania.
Rais Samia anafanya vitu vikubwa sana ambavyo chadema na ACT ya Zitto kamwe wasingeweza kuvifanya.Huyo ndiye Samia, anamwaga mapesa Wananchi tupate huduma bora.
Rais Samia amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sana!Rais Samia anafanya vitu vikubwa sana ambavyo chadema na ACT ya Zitto kamwe wasingeweza kuvifanya.
Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.Rais Samia amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sana!
Rais Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge.Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.
Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.Rais Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge.
Samia ndio jembe mchapa kazi bora na huyu mama nitampa kura yangu 2025.Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.
CHADEMA Wajifunze siasa safi kama za Samia la sivyo wataishia kufa kisiasa.Samia ndio jembe mchapa kazi bora na huyu mama nitampa kura yangu 2025.
Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Samia nyumbu wa ufipa wanabwabwaja ili iweje?CHADEMA Wajifunze siasa safi kama za Samia la sivyo wataishia kufa kisiasa.
Rais Samia anatoa funzo kubwa saaaana kwa CHADEMA.Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Samia nyumbu wa ufipa wanabwabwaja ili iweje?