Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Dah...tukubali tutakatae...twende mbele turudi nyuma....Bila Lowassa jana tungepigwa 3 mzuka tena....😎😎😎
 
Hili napingana nalo, kwenye soka hakuna kitu kama hicho, angalia Madrid ya akina Figo, Raul, Ronaldo, Beckham hawakuchukua uefa aisee,
Wao wawe committed na game tuu
Waliuchukua ujumbe wako na kufanikiwa aise.Vijana walikuwa wanajituma sana CAPE ni wazuri sana mbele kwenye kushambulia
 
[emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…