Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Ukweli unauma na ukweli haunaga uzalendo au laaa! kesho tutake tusitake wanaume wanatufanya vibaya wapendavyo
 
Kweli kabisa uwezo wa sisi kumfunga Cape verde haupo. Labda tutowe nao sare na ikitokea kamuujiza basi tutawafunga kamoja tena ka kibahati.
 
Maximo alishawafunga hawa Cape Buffalo Taifa mwaka 2007 kama sikosei 3-1 kumbukeni vizuri.Naunga mkono hoja yako.
 
Mtani na wewe unaisemeaje hiyo game kesho?
Mtani kesho Taifa Stars hana pakutokea, atafungwa tu. Na mda 'mashabiki' wa Taifa Stars pressure ikipanda na kushuka.. Mimi nitakua makini na timamu nikiwafatilia CR7 wa Uganda, Okwi na Juuko Murshidi wakiiongoza Uganda dhidi ya Lesotho.
 
Mtani kesho Taifa Stars hana pakutokea, atafungwa tu. Na mda 'mashabiki' wa Taifa Stars pressure ikipanda na kushuka.. Mimi nitakua makini na timamu nikiwafatilia CR7 wa Uganda, Okwi na Juuko Murshidi wakiiongoza Uganda dhidi ya Lesotho.
Hahahaaaa. Mtani kama kawaida yako na Okwi waki.

Ila fuata vile moyo wako utapata furaha Mtani ya nini kuhangaika na timu ya kutupa presha kila kukicha.
 
Hahahaaaa. Mtani kama kawaida yako na Okwi waki.

Ila fuata vile moyo wako utapata furaha Mtani ya nini kuhangaika na timu ya kutupa presha kila kukicha.
Hahaha.. Ni kweli kabisa mtani.. Mechi iliyopita Uganda waliwakung'unta Lesotho 3 kavu huku Okwi akiingia kambani mara 2.. Sasa hiyo kesho kuna hatari Lesotho akapigwa 5 huku Okwi akiondoka na mpira wake.
 
Hahaha.. Ni kweli kabisa mtani.. Mechi iliyopita Uganda waliwakung'unta Lesotho 3 kavu huku Okwi akiingia kambani mara 2.. Sasa hiyo kesho kuna hatari Lesotho akapigwa 5 huku Okwi akiondoka na mpira wake.
Duuh! Mtani nanihamasisha na mie niicheck hiyo game.

Inachezwa saa ngapi hiyo kesho?
 
Napata tabu sana na kizazi hiki..Waganda wamewafunga Cape Verde kwao kwani wanawachezaji wangapi Ulaya....Zambia ilipowafunga Ivory Coast fainali ya AFCON na kuchukuwa ubingwa walikuwa wana wachezaji wangapi Ulaya????Tumeshawahi kuwafunga Morocco goli tatu kwa mchina...
 
Hili napingana nalo, kwenye soka hakuna kitu kama hicho, angalia Madrid ya akina Figo, Raul, Ronaldo, Beckham hawakuchukua uefa aisee,
Wao wawe committed na game tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…