Tanzania kama mwanachana wa Jumuia ya Africa Mashariki je tutaweza?

Tanzania kama mwanachana wa Jumuia ya Africa Mashariki je tutaweza?

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Hivi niulize kwanza, sisi ni wanachama wa jumuia ya Afrika Mashariki tulikubaliana tukasaini Mikataba ikiwemo ya Soko la pamoja na Uhuru wa wakaazi kusafiri sasa nauliza swali nikienda Kenya kulisha mifugo badae jioni narudi, nitakuwa nimevunja sheria ya nchi au nafurahia mkataba ambao nch yangu ilisaini, sheria ya mifugo haimo kwenye mikataba maana ni wanyama na sisi ni binadamu.

Nikija kukutembelea rafiki yangu Mkenya wengine huwa tunatembea na mifugo kama Mbwa au ngombe nakuja kupiga story na huku mfugo wangu anakula majani nikimaliza narudi kwetu na mifugo yangu je ntakuwa nimekosea?
 
Hakuna utaratibu wa kutembea na mifugo kiholela lazima kuna utaratibu wake.ova
 
Kwani nchi za afrika mashariki hazina wafugaji, wizara za kilimo hazijawahi kukutana na kukubaliana kuhusu soko la pamoja la africa mashariki, lazima wanamakubaliano flani
Hakuna utaratibu wa kutembea na mifugo kiholela lazima kuna utaratibu wake.ova
 
Back
Top Bottom