Kila kukicha uchumi wetu unaporomoka. Leo hii Dollar moja ya Kimarekani kwa ubadilishaji(exchange rate) inakimbilia kuwa T.shs.3,000. Wenzetu wa Kenya juzijuzi fedha yao ilikuwa inabadilshwa kwa Dollar moja ya Kimarekani (exchange rate) Ke 163 na sasa imeshuka mpaka Ke 143 kwa Dollar moja.
Kwa taarifa yao wanasema kuwa ifikapo Septemba, 2024 Dollar moja ya Kimaarekani itabadilishwa kwa Ke 100 kama ilivyokuwa hapo zamani. Sisi Tanzania badala ya fedha yetu kupanda kwa thamani kila kukicha shillingi yetu inaporomoka. Tunaye Waziri wa Fedha na tunaye Gavana wa Benki Kuu. Ninauliza tumekosea wapi?. Je hatuna watalaam wa uchumi?.
Kwa taarifa yao wanasema kuwa ifikapo Septemba, 2024 Dollar moja ya Kimaarekani itabadilishwa kwa Ke 100 kama ilivyokuwa hapo zamani. Sisi Tanzania badala ya fedha yetu kupanda kwa thamani kila kukicha shillingi yetu inaporomoka. Tunaye Waziri wa Fedha na tunaye Gavana wa Benki Kuu. Ninauliza tumekosea wapi?. Je hatuna watalaam wa uchumi?.