ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe akili unazo? Ndio ni kishindo Cha Mama Kwa sababu ni katika awamu yake Tanzania inang'ara kwenye Kila kitu.Kishindo cha awamu ya 6?
Ukiwa chawa akili inakuwa ndogo kama chawa.
Umekunywa chai lakini? Au ndio unabembelezea tumbo ukale mapupu mchana kwa posho ya uchawa?Wewe akili unazo? Ndio ni kishindo Cha Mama Kwa sababu ni katika awamu yake Tanzania inang'ara kwenye Kila kitu.
Wewe Kwa akili Yako Ukiwa na Kiongozi nyumbu hayo yatatokea?
Wewe umekunywa? Kwani wewe unabembeleza matrakoo au?Umekunywa chai lakini? Au ndio unabembelezea tumbo ukale mapupu mchana kwa posho ya uchawa?
Akili zingine Wakumpuuza Tu huyoKishindo cha awamu ya 6?
Ukiwa chawa akili inakuwa ndogo kama chawa.
Kama mumeumia chomoeni mjambeAkili zingine Wakumpuuza Tu huyo
Waandishi wengi wa bongo ni kanjanja na hawaelewi kazi Yao Kwa Nchi kama mhimili wa 4 wa dolaNimevutiwa jinsi citizens walivyoandika hii Habari, sijui Kama waandishi wa Habari wa Tanzania TFF na wizara Husika mmejiandaa kuibrandi TZ kupitia fursa hii. Vinginevyo ngoma itasikika zaidi kwa jirani yako.
F4 failure wengi ndo waandishi huku Tz.Nimevutiwa jinsi citizens walivyoandika hii Habari, sijui Kama waandishi wa Habari wa Tanzania TFF na wizara Husika mmejiandaa kuibrandi TZ kupitia fursa hii. Vinginevyo ngoma itasikika zaidi kwa jirani yako.
Gori moja milioni 5.Wewe akili unazo? Ndio ni kishindo Cha Mama Kwa sababu ni katika awamu yake Tanzania inang'ara kwenye Kila kitu.
Wewe Kwa akili Yako Ukiwa na Kiongozi nyumbu hayo yatatokea?