figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
heading inabidi ianze kili star halafu ifuate zimbabwe kwa sababu kili star wapo nyumbani. Mia
Upo serious mkuu,au?
Upo serious mkuu,au?
Very serious. Goli la kwanza limefungwa dakika ya kwanza na sekunde 19... naona yanga wanaishangilia Zimbabwe kwa nguvuUpo serious mkuu,au?
DK 15 ...two goals!! Very impressing!!
huyo firauni julio tokoliake kabisa hana adabu anaishia kubwabwaja huyo tenga tokoliake kabisa shenzi wakuba