Tanzania kuadhimisha miaka 100 ya Julius Kambarage Nyerere

Tanzania kuadhimisha miaka 100 ya Julius Kambarage Nyerere

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 100 YA MWALIMU NYERERE

WIZARA ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wadau imeandaa na kuzindua programu ya Maadhimisho ya miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ikiwa ni sehemu ya kuenzi na kusherehekea urithi wa maisha yake, itakayotumika kama zao jipya la utalii wa utamaduni.

Programu hiyo inayojulikana kama Mwl. Nyerere@100 ni sehemu ya mpango wa miaka 10 wa kuenzi na kusherehekea urithi wa maisha ya Mwalimu Nyerere ambao unalenga kuwashirikisha wadau ili kujenga uelewa wa pamoja kuhusu mchango wa Mwalimu Nyerere kitaifa na kimataifa.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu hiyo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amesema programu hiyo pia kutangaza, kumuenzi Mwalimu Nyerere na umuhimu wa kukusanya, kuendeleza, kuhifadhia na kutangaza rasilimali za urith wa Mwalimu Nyerere kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho ili kukuza na kuendeleza utalii.

" Kilele cha maadhimisho hayo kitakuwa Aprili 13 mwaka huu, Butiama mkoani Mara siku ambayo kama angekuwa hai angetimiza miaka 100, lengo likiwa ni kuenzi na kucherehekea mchango maridhawa wa Mwalimu Nyerere katika nyanja mbalimbali kitaifa na kimataifa."

Dkt. Ndumbaro amesema matukio yatakayofanyika wakati wa maadhimisho hayo kuanzia mwezi huu hadi kilele ni mikutano ya wadau, mashindano ya baiskeli, matembezi ya hiyari, ngoma za asili, Mwl Nyerere marathon, usiku wa Mwalimu Nyerere, Kalamu ya Mwalimu itakayohusiana na vitabu alivyoandika , maonesho, kughani mashairi na shindano maalumu ya kutengeneza nemba ya Mwalimu@100.

Akifafanua zaidi kuhusu mpango huo amesema Wizara yenye dhamana ya uhifadhi wa Malikale na matumizi yake ya Kiutalii imedhamiria kushirikisha wadau katika kuhifadhia na kutumia kiuendelevu urithi unaotokana na maisha ya Mwalimu Nyerere.

Amesema endapo Mpango huu utaweza kusimamia ipasavyo na kutekelezwa unategemea kuwezesha kutangaza nchi kwa kazi zikizofanywa chini ya Mwalimu Nyerere na pia viongozi wengine waliokuwa naye bega kwa bega.

Ameongeza kuwa kutakuwa na Makumbusho ya wapigania Uhuru ya kwanza Afrika ambayo itaitangaza Tanzania kwani kuna vioneshwa vya kutosha na urithi wa Mwalimu Nyerere utatambulika, kuhifadhiwa, kusherehekewa na kujulikana kwa watanzania wengi hasa vijana.

"Pia maeneo yenye historia ya Mwalimu Nyerere yatatangazwa, yatahifadhiwa kisheria lakini yatafunguliwa kwa ajili ya utalii na itakuwa ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi."
 
Unahangaika aisee

Usipokuwa makini utakufa kwa msongo wa mawazo

Huku ukiacha familia yako masikini

Achana na hizi mambo, umri wako ushaenda sasa
Auto...
Hapana sihangaiki.
Wakati wangu nilipokuwa nahangaika umepita.

Wala sina msongo wa mawazo.
Alhamdulilah.

Hakika umri umekwenda.
Nashukuru.

Angalia picha ya ujana wangu nikizunguka dunia.
Hiyo London katika 1990s.

No regrets.

Kila utakapokuwa unaniandikia kwa mtindo huu wako nitakuwekea picha moja unifahamu vizuri.

Huu mwaka wa 10 toka nistaafu.
Kutwa nzima nasoma naandika kama uonavyo hapa JF.

Watu hufa kwa ahadi zao na umri wetu ni kati ya 60 na 70.
Mimi niko katika ukingo wa maisha yangu.

Hili sihitaji kuambiwa na wewe.
Starehe yangu kubwa toka utotoni ni kusoma na kuandika.

Nilipokuwa kijana nikipenda kusikiliza muziki wa jazz.
Nilikuwa nikisafiri nje nikikusanya miziki hii na vitabu.

Na najua kupiga keyboard na guitar na naweza kuimba kidogo ingawa siku hizi kwa ajili ya uzee nasahau "lyrics."

Hebu niambie kipi kutoka kwangu kimekughadhibisha unanitolea jeuri?

Screenshot_20220209-140402_Photos.jpg
 
Miaka 100 ya kuzaliwa, inakuaje hapo? Kwani bado yupo hai?
 
P R O F I L E: Mr. Julius Nyerere

Profile: Mr. Julius Nyerere
Source: Africa Today, Vol. 2, No. 1 (Mar. - Apr., 1955), pp. 14-16
Published by: Indiana University Press
Stable URL: Profile: Mr. Julius Nyerere on JSTOR .
Accessed: 14/06/2014 21:04

Passers by are not in the habit of turning to stare at Negroes on New York's 37th Street. But, although nobody turned to stare at a short serious colored man with a small moustache and a preoccupied air, as he emerged from the airlines terminal on Monday, February 21st, they might well have done so. For--arriving by air from Africa, unheralded and unsung (although causing some misgivings in British breasts) Mr. Julius Kambarage Nyerere, history teacher, part-time politician, and President of the Tanganyikan African National Union, had just doubled the number of Tanganyikans in America. (The other half being a student at Chicago.)

Mr. Nyerere came to America to tell the United Nations Trusteeship Council that public opinion in Tanganyika agrees with the majority report of the U. N. Mission that Tanganyika will be ready for self-government in 20 or 25 years from now. As president of the only
African political organization uow in existence in Tanganyika, Mr. Nyerere is in a strong position to claim to be heard. So disturbed were the Anglo-Tanganyikan authorities when they heard of his visit that they immediately arranged for three other "Tanganyikans" (a
European company director; an Asian businessman--"in diamonds"; and a British-appointed African chief) to be flown in to attempt to offset his views. Evidently the Tanganyikan African Naticail Uuion (TANU) funds that were being used to pay for Mr. Nyerere's journey were being used to some effect.

Mr. Julius Nyerere is five foot six and a half inches tall, and is aged "about" 33 years old. "About" 33 is as precise as he can get, because--his father and mother being illiterate-- no record was made of the date of his birth. He has two brothers, three sisters, and 22 half brothers and sister. His father was Nyerere Burito, one of the eight chiefs that the Zanaki tribe, at that time, had. His father thus ruled over the Butiama area of the Musoma district of Tanganyika. (The family entered the administrative business when the Germans - -who formerly held Tanganyika as a colony, until the League of Nations mandated it to the British, this explaining why the U. N. send missions there today--made his cousin a chief.) Today it is Julius's elder brother Edward who is the chief of the whole Zanaki tribe. (The Zanaki are one of the smaller Tanganyikan tribes, numbering only 30,000.) A popular ruler, Elder Brother Edward is trying to become an elected chief, but- -as the British still insist on practicing indirect rule--this is not yet possible.

At the age of 12, Julius Nyerere went to a native authority school in his own district, where he studied for three years. He then went on to a Government school at Tabora for a further five years, after which he went to Makerere College in Uganda, where- -after a further three years --he took a teaching diploma. After this he taught for three and a half years at St. Mary's -School, Tabora (rather surprisingly, Mr. Nyerere is a Catholic--Catholicism is rare amongst the Zanaki- -becoming converted at school), after which- -even more surprisingly- Mr. Nyerere went to Scotland. Here he attended Edinburgh University from 1949-52, taking a general degree (M. A.) in history and economics. Since history is Mr. Nyerere's passion, he took two years of history to one of economics. Back in Tanganyika since 1952, he is now teaching at St. Francis' College, Pugu, near Dar es Salaam. He is married (his wife, Marie,
is of another Tanganyikan tribe, the Wasimbiti), and has two children, a boy and a girl.

He makes it clear that he regards himself primarily as a teacher, and that politics is his hobby. However, when he speaks of certain matters, emotions succeed one another in quick succession across his face, and --although his voice remains cultivated, steady, and serious -his eyes literally fill with tears. It is clear that, although politics may be his"hobby", it is a hobby to which he cleaves with passion, and out of a deep sense of duty to his people and his country. There are times when one even gains the impression that he finds the burden of current history a heavy one to bear, and that he would much prefer to deal with the history of the past--a so much more manageable commodity. However, his sense of obligation, fed by a habitually concealed but deep-running emotion, impell him to undertake tasks which-- however little he may desire them--he knows there are not enough qualified numbers of his people adequately to deal with yet.

Equally fluent in Swahili or in English (he thinks in one or the other depending upon his current mood), Mr. Nyerere, like other members of TANU, discharges the business of that organization in Swahili. "TANU", incidentally, only came into existence last year. It was taken over from the Tanganyikan African Association (which was founded in 1929--nobody seems to know by whom). Mr. Nyerere was president of Tabora branch of this organization as far back as 1946. Today "TANU" has 18,000 members (of whom a large proportion are Moslem), has many more followers, and is swiftly growing as Tanganyika becomes politically conscious.

Owing to difficulty in controlling the leadership of some of the local branches, the headquarters of TANU have actually restricted the enrolling of the further members at this time in some of the areas which are the most solidly behind them.

Representing something of a cross section of the population, TANU has six branches registered with the government, and two further branches which the government has hitherto refused to register. The two branches which the Government disapproves are both in the Wasukuma country. The Wasukuma are the biggest tribe in Tanganyika, numbering over a million people. (They might conceivably one day play the part in future Tangayikan politics that the Ashanti are now playing in the Gold Coast.) Much of the wealth of the Wasukuma is in cattle, upon the number of which a man's social -status depends. There are too many cattle for the land to
feed, however, and so "de-stocking" is plainly necessary.

The Government is now IMPOSING the de-stocking policy by force. TANU advocates de-stocking only after education and persuasion to obtain the people's consent. The cattle tax (TANU disapproving of taxes based upon a man's "capital" instead of upon his income) is another point at issue between the Government and TANU, This difference in approach is the reason why the government refuses to register the branches concerned.

Far from Africa, political organizations stand in the necessity of declaring to which part of the political spectrum they belong. In most of Africa, however, discussions of "isms" and the differentiation between shadings of "left" and "right" is purely academic--and likely to remain so for a number of years. Cattle and crops, in rural Africa, are the realities--not Communism or Capitalism. Mr. Nyerere, however, good historian that he is, is aware of the position of TANU in the larger currents that are now sweeping the world, and--although uncommitted to any idea but that of Tanganyikan independence at this stage--he will go so far as to say that he would wish an independent Tanganyika to remain within the British Commonwealth with ties a degree stronger than those now linking India to the Crown.

He also admits a degree of emotional identity with the type of viewpoint held by Socialists in Britian. But such things are not, of course, of major importance. Education, local politics, cattle, crops, and the lack of any publication giving the view of the Tanganyikan
nationalists--these are the things that matter.

All these questions--and many more- are debated in the African-built mud-walled house in Dar es Salaam that has long been the property of the Association and now, by "heredity", belongs to TANU. Here Oscar Kamboina, the Union's 26-year old secretary, and its one fulltime worker, fights organizational problems. Here comes John Rupia, a businessman who owns much property in Dar es Salaam, and provides considerable financial support for TANU.

Here TANU withstands the attacks of the European and government-subsidized "vernacular" press (unable to afford an organ of its own). Here, in March 1955 some seventy odd men crowded into the union office, (furnished with typewriters, tables, and hard-bottomed chairs) while thousands more thronged outside to await the return of Julius Nyerere from far away New York--to hear what news he brought; to hear what was said at the United Nations; to hear what (if anything) Americans are thinking and saying about Tanganyika and Tanganyikans, and whether they have any friends across the seas in their struggle for self-government and
independence from colonial rule.
 
Tributes to Mwalimu Julius Nyerere in the South African
Parliamen

Review of African Political Economy Publication details, including instructions for authors and subscription information: http://www.tandfonline.com/loi/crea20 Tributes to Mwalimu Julius Nyerere in the South African Parliament
Published online: 24 Feb 2007.
To cite this article: (2000) Tributes to Mwalimu Julius Nyerere in the South African Parliament, Review of African Political Economy, 27:83, 95-97, DOI: 10.1080/03056240008704435
To link to this article: http://dx.doi.org/10.1080/03056240008704435

Tributes to Mwalimu Julius Nyerere in the South African
Parliament

On 20 October 1999, a motion was moved in the National Assembly in Cape Town on the death of Dr. Mwalimu Julius Nyerere, former President of Tanzania. The following extracts from that debate are reproduced with the permission of the Speaker, Dr Frene Ginwala, who herself spent many years in Dar es Salaam, and was in fact appointed by Mwalimu as the first editor of the English language newspaper, The Standard, after it was nationalised in 1969. In sending the text of the debate, she remarked on the 'tributes
paid by the opposition parties' as well as ANC MPs.

The Deputy President, J G Zuma, opened the debate in these terms: The continent has lost one of its greatest sons and an outstanding leader in the true sense of the word. He was Mwalimu the teacher, who taught the African continent about peace, democracy and unity; Mwalimu the freedom fighter, who became one of the leading commanders of the liberation of Africa.

We, the South African Government, are proud to acknowledge the fact that Mwalimu made a valuable contribution to the process of bringing about democracy in our own country. The ANC is honoured to have known Mwalimu, and to have walked and worked with him for many years. We are proud of being part of the Tanzanian people, to have shared their lives and benefitted from their generosity, and, indeed, to have contributed to their well-being in several ways.

Those who have interacted with great leaders of the world have never hesitated to raise Mwalimu's name as one among those giants. He influenced the events that have shaped the history of this century through his skillful leadership and incisive thinking. Indeed, some of his theories and actions will continue to impact on the political perspectives that will dominate debates in the next century.
Mwalimu's name permeates all the significant moments of the development of the continent from its colonial past.

The search for social systems that will benefit the most disadvantaged and the poorest of the poor, which was one of Julius Nyerere's abiding passions, must be taken up with the greatest commitment and dedication by all of us on the continent. Our President, Comrade Thabo Mbeki, has mooted the idea of how we could tap the collective experience and wisdom of former leaders of the continent. He mentioned a few such leaders, including our own internationally acknowledged statesman, Nelson
Mandela, and, of course, Mwalimu. Indeed, Julius Nyerere was among leaders from the continent who were recently invited to attend the launch of the African Renaissance Institutute. He could not attend as he was seriously ill at the time.

The Speaker then took the floor herself and after stressing that it was 'fitting today ... that South Africans recall and acknowledge in particular the major contribution he made in ending apartheid and furthering struggle for democracy in our country and throughout Southern Africa', she added her own footnote to history:

Downloaded by [University of New Hampshire] at 02:29 06 October 2014 96 Review of African Political Economy In April 1960 I found myself in Dar es Salaam, seeking the leader of the nationalist movement, TANU, in what was still the British protectorate of Tanganyika. I knew him only through a letter he had written in 1959 to a South African magazine, supporting the boycott of South African goods.

But in 1959 I needed to inform that leader that in less than 24 hours the Deputy President of the recently banned ANC, Oliver Tambo, and other leaders would be arriving in his country to seek sanctuary, and to appeal to him to intervene and to ensure that the British government would not deport them and return them to South Africa, from which they had just escaped.

It was in the evening when I found the leader in a meeting of his national executive committee. He immediately left the meeting and in a short time obtained the necessary assurances from the British Governor, Sir Richard Turnbull. The next day, with the
arrival of Oliver Tambo, the ANC had found a home in exile. And many liberation movements followed.

That leader was Julius Kambarage Nyerere, and his ready response to our appeal helped to shape the struggle for this country's liberation and the course followed by other liberation movements.

In the years that followed, he never failed in his opposition to racism and commitment to building a non-racial society based on justice that had impelled him to act the way he did. It was these principles he cited when he nominated Chief Albert Luthuli for the Nobel Peace Prize and when he informed the Commonwealth that to allow apartheid South Africa to remain a member would be a vote to exclude the soon-to-be independent Tanganyika.

This also motivated him to close down the Witwatersrand Native Labour Authority and ban the recruitment of Tanganyikans to work in the mines of South Africa, notwithstanding the economic costs to his country.

Tanganyika provided sanctuary to thousands of Southern Africans - Mozambicans, North and South Rhodesians, Malawians, Angolans and Namibians - hosting our creches and schools, as well as our military camps, and giving refuge to people frm the Congo, Rwanda and Burundi.

As early as 1958 at the All Africa People's Conference in Accra, Julius Nyerere assembled the delegations of the liberation movements and political parties of Southern and Eastern Africa and led them in an impromptu rendering of Nkosi Sikele (now the national anthem of South Africa and Tanzania), sung in the many languages of the region.

His people bestowed on their leader the title Mwalimu - the teacher. He had an incredible capacity to communicate complex political and economic issues to the mass of the people in simple language - a skill that many of us in this House must envy and could well emulate! But most importantly he taught by example.

Immediately after becoming the Chief Minister, he cut his own salary and that of his Ministers. Within six weeks of assuming office as the first Prime Minister of independent Tanganyika, he resigned in order to give leadership to TANU and bridge the gap between government and the national movement. He illustrated his dislike of ostentation and pomposity and his sense of humour when he called for an end to the absurdity of large escorts and outriders that led to the closing of streets as he drove around Dar es Salaam. He complained that the President had become the biggest public nuisance in the capital city.

Later his party was to impose a strict code prohibiting leaders from owning real property and imposing other limitations on engaging in commerce. Honourable members will recall his visit to Parliament and the profundity of his address, in contrast to his humility as he questioned what he could tell us that was new, his nervousness when he heard that President Mandela would be joining us and, above
all, his humour and infectious laughter.

His personal integrity and honesty led him to publicly acknowledge that he had failed in implementing some of his policies, a rare admission made by few, if any other leaders. Yet no one can deny that though amongst the poorest nations of our continent, Tanzania stands out for its unity and stability, in contrast to the violence and ethnic conflict that surround it.

Note: Tributes to Julius Nyerere can also be found in nos. 81 and 82 (1999) of this journal.
 
Tanzania fifty years on (1961–2011): rethinking ujamaa, Nyerere and socialism in Africa

Review of African Political Economy Publication details, including instructions for authors and subscription information: http://www.tandfonline.com/loi/crea20

John S. Saul a a Department of Social and Political Science , York University , Toronto , Canada Published online: 27 Mar 2012.

To cite this article: John S. Saul (2012) Tanzania fifty years on (1961–2011): rethinking ujamaa, Nyerere and socialism in Africa, Review of African Political Economy, 39:131, 117-125,
DOI: 10.1080/03056244.2012.662386

To link to this article: http://dx.doi.org/10.1080/03056244.2012.662386
 

Attachments

Auto...
Hapana sihangaiki.
Wakati wangu nilipokuwa nahangaika umepita.

Wala sina msongo wa mawazo.
Alhamdulilah.

Hakika umri umekwenda.
Nashukuru.

Angalia picha ya ujana wangu nikizunguka dunia.
Hiyo London katika 1990s.

No regrets.

Kila utakapokuwa unaniandikia kwa mtindo huu wako nitakuwekea picha moja unifahamu vizuri.

Huu mwaka wa 10 toka nistaafu.
Kutwa nzima nasoma naandika kama uonavyo hapa JF.

Watu hufa kwa ahadi zao na umri wetu ni kati ya 60 na 70.
Mimi niko katika ukingo wa maisha yangu.

Hili sihitaji kuambiwa na wewe.
Starehe yangu kubwa toka utotoni ni kusoma na kuandika.

Nilipokuwa kijana nikipenda kusikiliza muziki wa jazz.
Nilikuwa nikisafiri nje nikikusanya miziki hii na vitabu.

Na najua kupiga keyboard na guitar na naweza kuimba kidogo ingawa siku hizi kwa ajili ya uzee nasahau "lyrics."

Hebu niambie kipi kutoka kwangu kimekughadhibisha unanitolea jeuri?

View attachment 2113774
Safi
 
Recasting Julius Nyerere in Zanzibar: the Revolution, the Union and the Enemy of the Nation Marie-Aude Fouéré a a Institut Français de Recherche en Afrique, Nairobi, Kenya

Journal of Eastern African Studies Publication details, including instructions for authors and subscription information: http://www.tandfonline.com/loi/rjea20

Recasting Julius Nyerere in Zanzibar: the Revolution, the Union and the Enemy of the Nation Marie-Aude Fouéré a a Institut Français de Recherche en Afrique, Nairobi, Kenya

Published online: 05 Jun 2014.

To cite this article: Marie-Aude Fouéré (2014) Recasting Julius Nyerere in Zanzibar: the Revolution, the Union and the Enemy of the Nation, Journal of Eastern African Studies, 8:3, 478-496, DOI: 10.1080/17531055.2014.918313

To link to this article: http://dx.doi.org/10.1080/17531055.2014.918313
 

Attachments

Julius Rex: Nyerere through the eyes of his critics, 1953–2013 James R. Brennana a Department of History, University of Illinois, Urbana, IL, USA Published online: 13 May 2014.

Journal of Eastern African Studies Publication details, including instructions for authors and subscription information: http://www.tandfonline.com/loi/rjea20

To cite this article: James R. Brennan (2014) Julius Rex: Nyerere through the eyes of his critics, 1953–2013, Journal of Eastern African Studies, 8:3, 459-477, DOI: 10.1080/17531055.2014.916557

To link to this article: http://dx.doi.org/10.1080/17531055.2014.916557
 

Attachments

Unahangaika aisee

Usipokuwa makini utakufa kwa msongo wa mawazo
Huku ukiacha familia yako masikini

Achana na hizi mambo, umri wako ushaenda sasa
Kwa umri wake haya anayo yafanya ndio mambo sahihi, ubongo wake haupumziki, upo busy kumfanya afikirie kitu kipya cha kutupia humu kila wakati; kwa umri wake ulitaka aanze kufikiria namna ya kupata PESA!? No, acha mzee ajilie kikokotoo chake taratibu huku tunapata madini kadhaa kutoka kwake, kuna mengine anaandikaga hata mimi hua sikubaliani nae but that doesnt mean nisicho kipenda mimi au wewe ndio iwe standard ya kila mtu humu. Muache mzee aendelee, na hi itamfanya aishi muda mrefu zaidi. Tunamuhitaji bado mzee huyu wa Magomeni
 
Kwa umri wake haya anayo yafanya ndio mambo sahihi, ubongo wake haupumziki, upo busy kumfanya afikirie kitu kipya cha kutupia humu kila wakati; kwa umri wake ulitaka aanze kufikiria namna ya kupata PESA!? No, acha mzee ajilie kikokotoo chake taratibu huku tunapata madini kadhaa kutoka kwake, kuna mengine anaandikaga hata mimi hua sikubaliani nae but that doesnt mean nisicho kipenda mimi au wewe ndio iwe standard ya kila mtu humu. Muache mzee aendelee, na hi itamfanya aishi muda mrefu zaidi. Tunamuhitaji bado mzee huyu wa Magomeni
Mazindu...
Ahsante sana.

Huyu ndugu yetu anachomwa roho na kalamu yangu.

Hayamfurahishi anayosoma kutoka kwangu.
 
Mazindu...
Ahsante sana.

Huyu ndugu yetu anachomwa roho na kalamu yangu.

Hayamfurahishi anayosoma kutoka kwangu.
Hao ni vijana wasiopenda kujishughulisha, hiyo ndiyo tabia yao.

Hata kusoma vitabu au magazeti inakuwa shida kwao.
 
Unahangaika aisee

Usipokuwa makini utakufa kwa msongo wa mawazo
Huku ukiacha familia yako masikini

Achana na hizi mambo, umri wako ushaenda sasa
Frustrations zako zisikufanye ukose heshima na adabu wa wakubwa. Huyu Mzee amekukosea nini hasa hadi umjibu kifedhuli hivi?
 
Frustrations zako zisikufanye ukose heshima na adabu wa wakubwa. Huyu Mzee amekukosea nini hasa hadi umjibu kifedhuli hivi?
Mzee...
Lipo tatizo kubwa la kisaikolojia.

Ananitazama mimi kama mtu fukara na kunitahadharisha kuhusu hali ya baadae ya wanangu.

Wakati mwingine huandikiwa Kiingereza katika mjadala mtu akijaribu kuniambia kuwa nimekikwaa kisiki.

Wakati mwingine humtahadharisha nikamwambia nina ujuzi mkubwa wa lugha hiyo (Merit Pass English Oral Cambridge).

Akiwa kakosa adabu sana nitamweleza kuwa nimezumgumza kwa mwaliko katika vyuo kadhaa hapa nyumbani na kwengineko Ulaya na Marekani.

Yapo mengi nakutananayo.
 
Recasting Julius Nyerere in Zanzibar: the Revolution, the Union and the Enemy of the Nation Marie-Aude Fouéré a a Institut Français de Recherche en Afrique, Nairobi, Kenya

Journal of Eastern African Studies Publication details, including instructions for authors and subscription information: http://www.tandfonline.com/loi/rjea20

Recasting Julius Nyerere in Zanzibar: the Revolution, the Union and the Enemy of the Nation Marie-Aude Fouéré a a Institut Français de Recherche en Afrique, Nairobi, Kenya

Published online: 05 Jun 2014.

To cite this article: Marie-Aude Fouéré (2014) Recasting Julius Nyerere in Zanzibar: the Revolution, the Union and the Enemy of the Nation, Journal of Eastern African Studies, 8:3, 478-496, DOI: 10.1080/17531055.2014.918313

To link to this article: http://dx.doi.org/10.1080/17531055.2014.918313
Kiranga,
Nafahamiana na Marie-Aude Fouere na pia James Brennan kwa miaka mingi.
Marie amepata kunialika mkutano Nairobi na nikatoa mada:


Jim Brennan yeye ni rafiki ndugu nimemfahamu akiwa kijana mdogo sana alikuja Tanga wakati anafanya Ph D yake na tumebakia marafiki hadi leo.

Hawa wote wanaijua Tanzania vyema kabisa.

1647881530529.png

Marie-Aude Fouere akinipa zawadi ya kitabu chake Dar es Salaam

1647881302964.png

James Brennan na Mwandishi University of Iowa
 
Auto...
Hapana sihangaiki.
Wakati wangu nilipokuwa nahangaika umepita.

Wala sina msongo wa mawazo.
Alhamdulilah.

Hakika umri umekwenda.
Nashukuru.

Angalia picha ya ujana wangu nikizunguka dunia.
Hiyo London katika 1990s.

No regrets.

Kila utakapokuwa unaniandikia kwa mtindo huu wako nitakuwekea picha moja unifahamu vizuri.

Huu mwaka wa 10 toka nistaafu.
Kutwa nzima nasoma naandika kama uonavyo hapa JF.

Watu hufa kwa ahadi zao na umri wetu ni kati ya 60 na 70.
Mimi niko katika ukingo wa maisha yangu.

Hili sihitaji kuambiwa na wewe.
Starehe yangu kubwa toka utotoni ni kusoma na kuandika.

Nilipokuwa kijana nikipenda kusikiliza muziki wa jazz.
Nilikuwa nikisafiri nje nikikusanya miziki hii na vitabu.

Na najua kupiga keyboard na guitar na naweza kuimba kidogo ingawa siku hizi kwa ajili ya uzee nasahau "lyrics."

Hebu niambie kipi kutoka kwangu kimekughadhibisha unanitolea jeuri?

View attachment 2113774
automata

usisepe urudi uendeleze stori na babu yako

1990 alikua London tayari mwezetu sijui ulikua wapi [emoji1787][emoji23][emoji38][emoji28][emoji28][emoji1787] au ulikua unazuga kwenye kaptura ya dingiyako au lakwanza ...njooo usisepe
 
Kiranga,
Nafahamiana na Marie-Aude Fouere na pia James Brennan kwa miaka mingi.
Marie amepata kunialika mkutano Nairobi na nikatoa mada:


Jim Brennan yeye ni rafiki ndugu nimemfahamu akiwa kijana mdogo sana alikuja Tanga wakati anafanya Ph D yake na tumebakia marafiki hadi leo.

Hawa wote wanaijua Tanzania vyema kabisa.

View attachment 2159667
Marie-Aude Fouere akinipa zawadi ya kitabu chake Dar es Salaam

View attachment 2159662
James Brennan na Mwandishi University of Iowa
Nakuaminia mwanazuoni wetu ndiyo naweka usomi hapa kuondoa mizozo isiyo mbele wala nyuma.[emoji1787][emoji1787]
 
automata

usisepe urudi uendeleze stori na babu yako

1990 alikua London tayari mwezetu sijui ulikua wapi [emoji1787][emoji23][emoji38][emoji28][emoji28][emoji1787] au ulikua unazuga kwenye kaptura ya dingiyako au lakwanza ...njooo usisepe
Kina...
Nyinyi hapa ni wanangu.
Mimi siwezi kuwa babu yenu.

Watoto wenu sasa mimi ndiyo babu yao.

Akiwa mwanamme akija nyumbani mke wangu ananiweka roho juu kwa kumpiga mabusu.
Mara kampa juice, mara kampa ice cream.

Akija mtoto wa kike zamu yangu.
Hizi ndizo mila zetu.
 
Back
Top Bottom