Leo December 22 Rais Samia Suluhu atazindua hatua ya kwanza ya kuanza ujazaji maji katika bwawa la Nyerere (JNHPP) Ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 78.68.
Tanzania tunaandika historia ya kuwa na bwawa kubwa zaidi lenye uwezo wa kujaza maji lita Bilioni 32 na bwawa hili ni kubwa kuliko ziwa Rukwa, baada ya kukamilika kwa mradi huu mkubwa unaoshika nafasi ya pili barani Afrika watanzania tutaondokana na adha ya umeme maana bwawa hili litakua na uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115.
Rais Samia Suluhu alisema hakuna mradi uliosimama na kweli tunaona anaendelea kukamilisha miradi ya kimakakati yenye faifa nyingi kwa watanzania moja ya faida ni katika sekta ya kilimo, uvuvu, maji safi na salama pia kupitia bwawa hili miundombinu imeboreshwa na bwawa hili litakuza utalii.
Tanzania tunaandika historia ya kuwa na bwawa kubwa zaidi lenye uwezo wa kujaza maji lita Bilioni 32 na bwawa hili ni kubwa kuliko ziwa Rukwa, baada ya kukamilika kwa mradi huu mkubwa unaoshika nafasi ya pili barani Afrika watanzania tutaondokana na adha ya umeme maana bwawa hili litakua na uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115.
Rais Samia Suluhu alisema hakuna mradi uliosimama na kweli tunaona anaendelea kukamilisha miradi ya kimakakati yenye faifa nyingi kwa watanzania moja ya faida ni katika sekta ya kilimo, uvuvu, maji safi na salama pia kupitia bwawa hili miundombinu imeboreshwa na bwawa hili litakuza utalii.