Tanzania Kuanzisha Biashara ya wa Bangi kwa Nchi Zilizohalalisha Matumizi Yake

Hizi ndo habari nazipendaga kuziskia

Ganja herb ina faida nyingi kuliko hasara na ni nzuri hata kwa meditation.
Shida watu wamekaririshwa toka utotoni et ukivuta bangi unakuwa chizi..

Sio kweli ni bora wapige BAN Sigara zina madhara makubwa sana kiafya.
 
Kabsa mkuu
 
Karne ya 21 kwanini bado tunasema wavuta bangi ni vichaa!? Hongera kwa Bibi alikuwa anajua kucheza na concept za biashara
Kwa kweli mkuu,kuna Mzee mmoja alikuwa anavuta kama sigara huo mjani na alikuwa vizuri tuu!
 
Wakinga ni Mboga kama matembele!
 
Hili Jani sijui shida ilianzia wapi kulipiga ban, maana huko makete ni Mboga,Tena tamu kama Ile ya wagogo wanaita muhilile ,matembele,nk tamu niliwahi kula na ugali huko makete na Dona! hasa ukiweka Karanga.Hao wakinga waliopo kariakoo wamekula sana huo mjani kama Mboga!
 
Nchi yetu huwa tunafuata mkumbo na kuiga.

Siku moja nasi tuta ruhusu matumizi ya bangi kwasababu wale waliotuambia bangi ni mbaya, tayari wameshairuhusu.
 
Jina ndo limeharibu kila kitu 😜 ipewe jina zuri iendelee kutumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…