Tanzania kuiongoza tena Afrika katika kupambana na mataifa makubwa

Tanzania kuiongoza tena Afrika katika kupambana na mataifa makubwa

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Baada ya kuiongoza Afrika katika vita vya kulikomboa bara la Afrika, sasa hivi Tanzania imeanza kuiongoza tena Afrika katika vita vya kiuchumi, kuhakikisha kwamba, bara la Afrika linakoma kuwa sehemu ya kutajirisha mataifa ya nje.

Tanzania imetoa masharti mazito kwa China kama inataka kuwekeza katika bandari ya Bagamoyo. Ikumbukwe kwamba huwa wawekezaji ndio wanaotoa masharti, ila Tanzania imeanza kutumia mfumo mpya kabisa kutumika hapa Afrika, kwamba muwekezaji anakutana na masharti tayari, akikubaliana nayo ndiyo aweze kuwekeza.

Ni matumaini yangu kwamba jirani wetu atajifunza na ikiwezekana akapitie upya ule mkataba wa SGR.
 
Bravo the "true centre" of emancipation of Afrika.
 


Baada ya kuiongoza Afrika katika vita vya kulikomboa bara la Afrika, sasa hivi Tanzania imeanza kuiongoza tena Afrika katika vita vya kiuchumi, kuhakikisha kwamba, bara la Afrika linakoma kuwa sehemu ya kutajirisha mataifa ya nje.

Tanzania imetoa masharti mazito kwa China kama inataka kuwekeza katika bandari ya Bagamoyo. Ikumbukwe kwamba huwa wawekezaji ndio wanaotoa masharti, ila Tanzania imeanza kutumia mfumo mpya kabisa kutumika hapa Afrika, kwamba muwekezaji anakutana na masharti tayari, akikubaliana nayo ndiyo aweze kuwekeza.

Ni matumaini yangu kwamba jirani wetu atajifunza na ikiwezekana akapitie upya ule mkataba wa SGR.
pongezi zote kwa JPM na serikali yake
 


Baada ya kuiongoza Afrika katika vita vya kulikomboa bara la Afrika, sasa hivi Tanzania imeanza kuiongoza tena Afrika katika vita vya kiuchumi, kuhakikisha kwamba, bara la Afrika linakoma kuwa sehemu ya kutajirisha mataifa ya nje.

Tanzania imetoa masharti mazito kwa China kama inataka kuwekeza katika bandari ya Bagamoyo. Ikumbukwe kwamba huwa wawekezaji ndio wanaotoa masharti, ila Tanzania imeanza kutumia mfumo mpya kabisa kutumika hapa Afrika, kwamba muwekezaji anakutana na masharti tayari, akikubaliana nayo ndiyo aweze kuwekeza.

Ni matumaini yangu kwamba jirani wetu atajifunza na ikiwezekana akapitie upya ule mkataba wa SGR.

Ni vizuri Kwanza tujikomboe ndugu yangu. Wakulima wa Korosho hatujawalipa kwa mwaka moja Sasa na Hii Serikali iliuza Korosho yote na SI eti tuliuza kwa deni. Hela ziko wapi?
 
Ni vizuri Kwanza tujikomboe ndugu yangu. Wakulima wa Korosho hatujawalipa kwa mwaka moja Sasa na Hii Serikali iliuza Korosho yote na SI eti tuliuza kwa deni. Hela ziko wapi?
Unateseka sana mwasiti


 
DREAM DREAM DREAM DREEEEEAAAAM
Tulipitia upya mikataba ya madini, tumefanikiwa kupata mikataba mipya na yenye maslahi zaidi, Tumefuta mkataba wa mwanzo wa Bagamoyo port, ambao uliandikwa na wachina, sasa hivi tumewapa wachina mkataba wetu vile tunataka, uchaguzi uko kwao. Kama imewezekana kwa Tanzania, kwanini inashindikana kwa Kenya?, wake up Nyang'au.
 
Lete huo mkataba wa china tuuone hapa...
Ndugai alikua right, lkn kilichomponza tumbo..
Sai wachina wamewaruka, sasa mmeanza kutapatapa na vi vlog vya youtube..huyo mdada hajui chochote kuhusu hyo bagamoyo port...we mwenywe mkataba hujauona na uko hapa unakata mauno
Tulipitia upya mikataba ya madini, tumefanikiwa kupata mikataba mipya na yenye maslahi zaidi, Tumefuta mkataba wa mwanzo wa Bagamoyo port, ambao uliandikwa na wachina, sasa hivi tumewapa wachina mkataba wetu vile tunataka, uchaguzi uko kwao. Kama imewezekana kwa Tanzania, kwanini inashindikana kwa Kenya?, wake up Nyang'au.
 
Lete huo mkataba wa china tuuone hapa...
Ndugai alikua right, lkn kilichomponza tumbo..
Sai wachina wamewaruka, sasa mmeanza kutapatapa na vi vlog vya youtube..huyo mdada hajui chochote kuhusu hyo bagamoyo port...we mwenywe mkataba hujauona na uko hapa unakata mauno
Huyo Dada hajui chochote kuhusu Bagamoyo port, ila wewe unajua kila kitu kuhusu mkataba wenu na China kuhusu SGR, leta mkataba wenu na wachina tuone.

Muhimu ni kwamba, tulipambana katika mikataba ya MADINI na tukaibuka washindi baada ya kufuatilia mbali mikataba ya zamani, ACACIA alipoleta ujuaji wake tukamfuta kabisa.

Tumefanikiwa kufutilia mbali mkataba wa kwanza wa Bagamoyo port, tumiandika upya mkataba vile tunavyotaka, tunawasubiri wachina, wakitaka kuwekeza lazima wakubaliani na matakwa yetu, wakishindwa waondoke, Tanzania sio Kenya, hatuwezi kuibiwa hovyo hovyo.

Kumbuka China ilikubali kutukopesha pesa kwa ajili ya SGR, $7.6B, lakini tulipogundua una masharti ya kutuibia kama ulivyokua wa Kenya, tukakataa na kuanza kujenga kwa pesa yetu. Tanzania hoyeeeeerr
 
Huyo Dada hajui chochote kuhusu Bagamoyo port, ila wewe unajua kila kitu kuhusu mkataba wenu na China kuhusu SGR, leta mkataba wenu na wachina tuone.

Muhimu ni kwamba, tulipambana katika mikataba ya MADINI na tukaibuka washindi baada ya kufuatilia mbali mikataba ya zamani, ACACIA alipoleta ujuaji wake tukamfuta kabisa.

Tumefanikiwa kufutilia mbali mkataba wa kwanza wa Bagamoyo port, tumiandika upya mkataba vile tunavyotaka, tunawasubiri wachina, wakitaka kuwekeza lazima wakubaliani na matakwa yetu, wakishindwa waondoke, Tanzania sio Kenya, hatuwezi kuibiwa hovyo hovyo.

Kumbuka China ilikubali kutukopesha pesa kwa ajili ya SGR, $7.6B, lakini tulipogundua una masharti ya kutuibia kama ulivyokua wa Kenya, tukakataa na kuanza kujenga kwa pesa yetu. Tanzania hoyeeeeerr
Eti wa kuwaibia km wa kenya...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeshindwa kuleta mkata wa bagamoyo hapa, sasa umeamua kuruka ruka..

Sgr hata haina haja tuiongelee, manake mlijifanya wajuaji mkaingia mkenge kw mturuki..eti mradi utakamilika mwaka ujao kisa eti mvua[emoji38][emoji38][emoji38]..

Jamaa anawajengea kituko, we endelea kukata mauno
 
Back
Top Bottom