Si ajabu sana kwa nchi ambayo haijaendelea sana kiuchumi kukuza uchumi wake kwa asilimia kubwa kuliko nchi iliyoendelea. Kumbuka kinachopimwa hapa ni kiwango cha uchumi kukua, si ukubwa wa uchumi.
Ghana wameanza kuchimba mafuta na ni moja kati ya chumi zinazokua haraka sana sasa hivi, wanafikisha mpaka 15% kwa mwaka.
Marekani wana uchumi ulioendelea sana lakini kukuza uchumi 3% kwa mwaka hawawezi, kwa sababu uchumi wao ushakua tayari.
Hili halimaanishi Ghana ina uchumi mkubwa kuliko Marekani, kinachoongelewa hapa ni rate ya kukua kwa uchumi.
Having said all that, all data coming from the Tanzanian government is suspect.