Sio viwili tena Arusha na Dodoma?Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.
Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.
Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.
Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwanadaaji wa michuano ya afcon 2027.
View attachment 2876415
Zanzibar kipo tayari, hicho kingine kingesogezwa pemba hivo wajameni na siye watu ivyo!Sisi Pemba je?
Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.
Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.
Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.
Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwanadaaji wa michuano ya afcon 2027.
View attachment 2876415
Arusha wamesha anza ujenzj, dodoma soon wanaanza
Usiiamini hii serikali hata kidogo.Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000.
Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya usanifu wa viwanja kwa ajili yamichoro ya ujenzi wa viwanja hivyo vya kisasa.
Mikoa hiyo ni Mwanza, Arusha, Dodoma, Mtwara, Mbeya na Unguja.
Hili limekuja baada ya Tanzania kuwa ni mwandaaji wa michuano ya afcon 2027.
View attachment 2876415
Pemba mbali bana,upite nungwi tumbo lisukesuke uhare kwenye boti ndo ufikeZanzibar kipo tayari, hicho kingine kingesogezwa pemba hivo wajameni na siye watu ivyo!
Aaaaaiiiseeee 😯! MakubwaUnaweza shangaa kuna watu wameamini!!
Umeandika kishambenga!Zanzibar kipo tayari, hicho kingine kingesogezwa pemba hivo wajameni na siye watu ivyo!
Hata mimi sijaamini kwa kweli!Unaweza shangaa kuna watu wameamini!!
tena kwa mujibu wa katibu mkuu anyehudumu wizara ya michezo alisema vitaweza kuingiza watu 30,000 kila kimoja kwa mikoa ya arusha na dodoma.Sio viwili tena Arusha na Dodoma?