πππππHahaha, wapi penye imeandikwa Yepi Markezi kwa hiyo mkebe?
Leo nimecheka kuona bullet train ya Tanzania. Maybe nowadays we I don't know the meaning of bullet train.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah.. mkuu mbavu zangu.Hapa magufuli katupiga.
Naa atakaye iponda online watamuua.
I swear watamuua.
Leo nimecheka kuona bullet train ya Tanzania. Maybe nowadays we I don't know the meaning of bullet train.
Hapo kwa msitari wa blue pameandikwa nn?Hahaha, wapi penye imeandikwa Yepi Markezi kwa hiyo mkebe?
Hatuishii morogoro tunaenda mwanza na kigoma na baadhi ya maeneo itatembea mpaka 200km per hrsidhani kama kwa safari za morogoro tunahitaji bullet train,mi naona hata hicho kinatutosha tuuu
ππππππLeo ndo Nimegundua kenyans wa jf wako na akili fupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Na hawa nyan'gau wameita ni mkebe ya gongo!! Hatari sanasidhani kama kwa safari za morogoro tunahitaji bullet train,mi naona hata hicho kinatutosha tuuu
Hii hawatasoma watajidai hawajaiona
Punguza kutumia makamasi kufikiria mgaldemWakenya wataikimbia jamii forums! Tunajenga stesheni za ghorofa, tunanunua bullet trains the 1&only in Africa.
Kumbe ni vyoo vya umma na mtambo wa kubeba chipsi mayai kutoka dar kupelekea akina Richard irakunda kule kigoma.
PRIDE COMES BEFORE A FALL
Cc: ichoboy01
Sio kosa lako ila kosa lako ni uelewa mdogoππππππWakenya wataikimbia jamii forums! Tunajenga stesheni za ghorofa, tunanunua bullet trains the 1&only in Africa.
Kumbe ni vyoo vya umma na mtambo wa kubeba chipsi mayai kutoka dar kupelekea akina Richard irakunda kule kigoma.
PRIDE COMES BEFORE A FALL
Cc: ichoboy01
Leo ndo Nimegundua kenyans wa jf wako na akili fupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaa haaaa,bullet train,,watz mnanipasua mbavu yaani umaskini haufichiki ldcsidhani kama kwa safari za morogoro tunahitaji bullet train,mi naona hata hicho kinatutosha tuuu
Huyo akili zake zitakuwa zimenyewa na bundi!Bro mbona unaniuliza swali hili mara kwa mara?
Kutest maana yake ni nini?Hapa akina Geza Ulole na joto la jiwe wanaingia na kutoka nduki utadhani wanakimbizwa na nyuki. Hapa hutawaona hao wajuaji.