Tanzania kukosa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa ni kichocheo cha matumizi holela ya taarifa za Watu?

Tanzania kukosa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa ni kichocheo cha matumizi holela ya taarifa za Watu?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20200403_195539.jpg

Pichani ni nakala ya fomu ya maombi ya kurudisha namba ya simu iliyopitea. Hata hivyo nyaraka hiyo iliyosheheni taarifa nyeti za mteja wa Kampuni hiyo ya mawasiliano ilitumika kutengenezea bahasha katika Duka la Dawa

Nyarahiyo yenye jina, namba ya simu na miamala ilitumika bila ya kufutwa kwa taarifa hizo ambazo zinaweza kutumia vibaya dhidi mhusika

Sheria za #UlinziWaData katika Mataifa mengine huwataka watoa huduma kulinda taarifa za Wateja wao na kuzihifadhi kwa usahihi

Aidha, taarifa ambazo matumizi yake umekwisha basi sheria huwataka Watoa huduma kuziharibu kwa kuzingatia usalama wa mteja

Picha hii ni karatasi ya maombi ya namba ya simu ya mteja wa Kampuni ya Airtel iliyojazwa mnamo 21 Desemba 2016
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom