Tanzania kuna baadhi ya Mawaziri wana uwezo mdogo, Wenzetu Kenya Rais kavunja Baraza zima la Mawaziri

Tanzania kuna baadhi ya Mawaziri wana uwezo mdogo, Wenzetu Kenya Rais kavunja Baraza zima la Mawaziri

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Mawaziri wengi wa Tanzania wana uwezi mdogo sana wa kufanya kazi, Ila wanabebwa kwa sababu za kisiasa tu.

Kule Kenya, Ruto kavunja Balaza la Mawaziri na anatarajia kutangaza Baraza jipya siku chache zijazo. Haya ni maamuzi Magumu sana ambayo kwa nchi ya kubembelezana kama Tanzania huwezi yakuta kabisa.

Tanzania shida tuna mfumo wa kubembelezana, mfumo wa uchawa na mfumo wa kulindana sana.

Angalia hata Wakuu wa wilaya asilimia 100 wana uwezo mdogo sana ukitoa mihemko yao, kuna yule sijui Mkuu wa wilaya Mlemavu kule Kisarawe yule anauwezo mdogo mno ila ulemevu ndio umempatia ukuu wa wilaya. The same na Wakuu wa mikoa wana uwezo mdoho sana, Makonda anacheza na akili za wajinga wa hili Taifa.

PIA SOMA
- Breaking News: - William Ruto avunja Baraza la Mawaziri Kenya
 
Siyo mawaziri tu, anakumbatia viongozi wahalifu..Mkuu wa mkoa wa mwanza, said mtanda, mkurugenzi jiji la arusha Juma hamsini..na wengine ambao tuhuma zao ni wazi kabisa!
 
Mawaziri wengi wa Tazania wana uwezi mdogo sana wa kufanya kazi, Ila wanabebwa kwa sababu za kaisiiasa tu.
Na Mh mwenyewe anaogopa kuwafukuza kwa sabanu za kisiasa tu ila sio za kiutendaji...
kwamba unalinganisha usiku na mchana au unatamani mchana uige mambo ya usiku? right?

kwamba Nuru iwe giza au 🐒
 
Mawaziri wengi wa Tazania wana uwezi mdogo sana wa kufanya kazi, Ila wanabebwa kwa sababu za kaisiiasa tu.
Na Mh mwenyewe anaogopa kuwafukuza kwa sabanu za kisiasa tu ila sio za kiutendaj...
Mama Samia mwenyewe Ana uwezo mdogo sana, apige tu chini
 
Siyo mawaziri tu, anakumbatia viongozi wahalifu..Mkuu wa mkoa wa mwanza, said mtanda, mkurugenzi jiji la arusha Juma hamsini..na wengine ambao tuhuma zao ni wazi kabisa!
Said Mtanda ametajwa Sana kwenye lile sakata la yule binti anaye dai alilawitiwa na Nawanda. Alikua msitari wa mbele kesi isifike mbali. Wangeanza na yeye kabla hawajafika kwa wale ambao tuhuma zao haziko wazi.
 
Mawaziri wengi wa Tazania wana uwezi mdogo sana wa kufanya kazi, Ila wanabebwa kwa sababu za kisiasa tu.

Na Mh mwenyewe anaogopa kuwafukuza kwa sabanu za kisiasa tu ila sio za kiutendaji.

Kule Kenya, Ruto kavunja Balaza la mawaziri na anatarajia kutangaza Baraza jipya siku chache zijazo, Hii ni maamuzi Magumu sana ambayo kwa nchi ya kubembelezana kama Tanzania huwezi yakuta kabisa.

Tanzania shida tuna mfumo wa kubembelezana, mfumo wa uchawa na mfumo wa kulindana sana.

Angalia hata Wakuu wa wilaya asilimia 100 wana uwezo mdogo sana ukitoa mihemko yao, kuna yule sijui Mkuu wa wilaya Mlemavu kule Kisarawe yule anauwezo mdogo mno ila ulemevu ndio umempatia ukuu wa wilaya. The same na Wakuu wa mikoa wana uwezo mdoho sana, Makonda anacheza na akili za wajinga wa hili Taifa.
Rais Samia ana interest na hao wa wake maana wana kitu wana mpa. Imagine issue kama ya Bashe na sukari, badala ya Bashe kupigwa chini wao waliamua kumshughulikia Mpina msema kweli
Waziri wa fedha ana ongelewa kwa mengi mabaya, wizi, dharau, uwezo mdogo yeye Mama hasikii wala haambiliki. Mama kawa chura
 
Back
Top Bottom