Tanzania kuna Mabunge mangapi?

Tanzania kuna Mabunge mangapi?

COMORIENNE

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2022
Posts
923
Reaction score
1,054
Habari za uzima ndugu zangu. Siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia neno "Bunge la Wananchi" najiuliza bunge hili lipo kisheria? Lilichaguliwa lini? Liliteuliwa lini na nani kwa madhumuni gani?

Naomba majibu ya maswali haya toka ama kwa Spika wa hilo Bunge au Wabunge wa hilo Bunge la "Wananchi".
 
Habari za uzima ndugu zangu. Siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia neno "Bunge la Wananchi" najiuliza bunge hili lipo kisheria? Lilichaguliwa lini? Liliteuliwa lini na nani kwa madhumuni gani?

Naomba majibu ya maswali haya toka ama kwa Spika wa hilo Bunge au Wabunge wa hilo Bunge la "Wananchi".
UNAMUULIZA NANI?
 
Habari za uzima ndugu zangu. Siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia neno "Bunge la Wananchi" najiuliza bunge hili lipo kisheria? Lilichaguliwa lini? Liliteuliwa lini na nani kwa madhumuni gani?

Naomba majibu ya maswali haya toka ama kwa Spika wa hilo Bunge au Wabunge wa hilo Bunge la "Wananchi".
ULIZA NA HILI
zittokabwe_1675067533280196.jpg
 
Back
Top Bottom