Tanzania kuna magashagwa mengi kuliko Kenya, anakosekana wa kuyaondoa tu.

Tanzania kuna magashagwa mengi kuliko Kenya, anakosekana wa kuyaondoa tu.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kiongozi wa kitaifa hapaswi kufikiria na kutenda kikabila, kijimbo, kidini, kijinsia au kikanda maana watu wote (makabila, dini, majimbo, wilaya, mikoa, jinsia, kanda) kwenye taifa wanamtegemea. Unapomsikia na kumuona kiongozi wa nchi anafikiria, anatenda, anaagiza na kupeleka maendeleo kwa kufuata kijiji chake, mtaa wake, kabila lake, jimbo lake, mkoa wake, jinsia yake, dini yake au kanda yake alikotoka huyo hana tofauti na Gashangwa, aliyekuwa Naibu Rais wa Kenye alitimuliwa kwa kutaka kuwapendelea wa kwao wa Mlima.

Tanzania maendeleo yatapelekwa kwa kuangalia kiongozi yupi na ukubwa gani anatoka wapi, kabila gani, jimbo lipi na jinsia ipi. Jimbo la kiongozi lazima umeme uwake haraka, maji yapelekwe haraka, barabara za lami zijengwe haraka, hospitali ijengwe haraka, uwanja wa ndege ujengwe upesi na hata mbuga za wanyama zisikose.

Hatuwaoni? hatujui? au hatuwezi?
 
Nakazia hoja, hata hapa kwetu kuna dalili hizi pia.
Kama tatizo ni katiba basi hutana namna, kama tatizo ni bunge dhaifu hatuna namna lakini kama tatizo ni wananchi shida ni kubwa zaidi.

Kuna jamaa alipata tabu sana baada ya kufichua udhaifu wa bunge letu.
 
Kiongozi wa kitaifa hapaswi kufikiria na kutenda kikabila, kijimbo, kidini, kijinsia au kikanda maana watu wote (makabila, dini, majimbo, wilaya, mikoa, jinsia, kanda) kwenye taifa wanamtegemea. Unapomsikia na kumuona kiongozi wa nchi anafikiria, anatenda, anaagiza na kupeleka maendeleo kwa kufuata kijiji chake, mtaa wake, kabila lake, jimbo lake, mkoa wake, jinsia yake, dini yake au kanda yake alikotoka huyo hana tofauti na Gashangwa, aliyekuwa Naibu Rais wa Kenye alitimuliwa kwa kutaka kuwapendelea wa kwao wa Mlima.

Tanzania maendeleo yatapelekwa kwa kuangalia kiongozi yupi na ukubwa gani anatoka wapi, kabila gani, jimbo lipi na jinsia ipi. Jimbo la kiongozi lazima umeme uwake haraka, maji yapelekwe haraka, barabara za lami zijengwe haraka, hospitali ijengwe haraka, uwanja wa ndege ujengwe upesi na hata mbuga za wanyama zisikose.

Hatuwaoni? hatujui? au hatuwezi?
Yaani ni nchi ya hovyo kabisa hii, Mkapa na Nyerere walikataa huo ujinga
 
Nakazia hoja, hata hapa kwetu kuna dalili hizi pia.
Tutafute namna ya kuwagashagwa, wapo wengi mno. Hata barabara kama jimbo/mkoa/kabola/dhehebu lenu halijatoa waziri, waziri mkuu, speaker, makamu wa Rais au Rais mmeumia sana.
 
Back
Top Bottom