Tanzania kupeleka timu Asia

Tanzania kupeleka timu Asia

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
848
Reaction score
191
Kitaalamu kuna haja ya kuwapeleka watu bara au nchi fulani ili kujifunza ni kwa jinsi gani wao wamefanikiwa kiuchumi.

Nimeiona mahali nikawa najiuliza mwenyewe; hata hivyo, nikaona niwahusishe hapa ndani pia kwasababu "tunajenga nyumba moja kwanini tugombanie fito"

Kama iko sawa, basi nitaomba na mimi niwe sehemu ya hiyo timu.
20230406_123949.jpg
 
Back
Top Bottom