souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,098
- Thread starter
-
- #21
wengi mnoo... kivipi mkuu?Bado ni wengi mnooo....
Hahahahaaaa nouma sana mpoki anatumia fasihi kufikisha ujumbe kamiliNimemsikia Mpoki kwenye redio sasa hivi anasema kaona timu ya Olimpiki ya Tanzania inasafiri washiriki wake wote wanaonekana wana majonzi. Anasema haya mambo ya kuwapeleka watu kwenda kuogelea Brazil huku hawajaacha hela ya Kula nyumbani wanaweza kuzama kwa ajili ya mawazo...
Mkuu waiethiopia sii jamii ya wambulu mm naona kila kitu wanafanana na wambulu kuliko wanyaturu kwani hata kenya nao wapo wanaitwa wasamburu.Hao wa Ethiopia mnawaona ni jamii ya warimi(wanyaturu) ambao wapo hata hapo Kenya.Tz singida haina uwekezaji wowote wa riadha wakati ndio yenye wanariadha.Tutasindikiza sana tu!
Hii nchi ngumu sana
Tatizo kila mtu mwanasiasa bongo nyoso sanaTanzania hata ukiwa na kipaji kutoka haiwezekani. Mazingira magumu ukiongeza na majungu na fitna lazima ufreez
kaka, asante na wewe kwa kuliona hiloHii nchi ina matatizo mengi sana
Duuuuh...! yaani washiriki wanaingia mara tatu kwa viongozi wanaoenda kuwasindikiza, tz nouma sanaViongozi 21!
Duh bora hata wangetengeneza medali za mbao wapewe hao washiriki wetu walioshindwaSwimming wanaume tumesha shindwa, judo tumesha shindwa imebaki swimming wanawake na riadhaa tu .
VIONGOZI 14Na viongozi wangapi?
Hii ya Swimming tumesgindwa lini?Swimming wanaume tumesha shindwa, judo tumesha shindwa imebaki swimming wanawake na riadhaa tu .