Tanzania kupunguza uagizaji vifaranga nje ya nchi

Tanzania kupunguza uagizaji vifaranga nje ya nchi

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Mwaka 2022/2023 Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, imewezesha uwekezaji wa shamba la kuzalisha kuku wazazi halisi (Grandparent Stock) lenye uwezo wa kufuga kuku 60,000 na kuzalisha mayai ya kuku wazazi halisi 40,000 kwa siku, uwekezaji huu utapunguza uagizaji wa vifaranga nje ya nchi.

Tanzania inazidi kusonga mbele chini ya Rais Samia Suluhu
 
Back
Top Bottom