Tanzania kushirikiana na cuba katika elimu

Tanzania kushirikiana na cuba katika elimu

mdeki

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
3,299
Reaction score
475
serikali ya Tz imeridhia kushirikiana na cuba ktk elimu ya watu wazima.

source: chanel ten
 
Huu ni ujinga mkubwa sana .Pamoja na kuwepo vijana wa kitanzania wasio na ajira wenye uwezo wa kufundisha elimu ya watu wazima leo unaambiwa mkataba unasainiwa ili WaCUBA waje Tz kufundisha .Kwanza hawa watu hawajui Kiswahili wala kiingereza sijui itakuwaje.Uchizi usio na kipimo kwa nchi yetu. Inasemekana hbuu mkataba ulisainiwa tayari.Wizi mtupu.
 
Back
Top Bottom