Tanzania kutangaza tenda ya phase 3 muda wowote kuanzia kesho

pole kwa povu lakini😀😛😛😛utajiri huu hapa
Hizo namba tu sio hela Kenya mambo hayapo kama ulivyoandika hapo maisha magumu sana kwa majority wachache ndio wanaishi kwa furaha. Pole sana ila mwaka huu muwe na upendo msiumizane
 
pole kwa povu lakini😀😛😛😛utajiri huu hapa
Kumbuka 2/3 ya GDP ipo mikononi mwa watu 8,300 pekee, zinabaki $20B ambazo ndiyo zinagawanywa kwa watu 45M, hii inakupa kipato halisi cha mkenya ni $450, je hilo unalijua?, the most ruthless economy in Africa
 
Kumbuka 2/3 ya GDP ipo mikononi mwa watu 8,300 pekee, zinabaki $20B ambazo ndiyo zinagawanywa kwa watu 45M, hii inakupa kipato halisi cha mkenya ni $450, je hilo unalijua?, the most ruthless economy in Africa
pole kwa hasira lakini.. .Kenya tunawweza tukawagawia uchumi na bado tunaongoza...hatuna competition hapa...yaani sisi ndio nchi pekee ynye rangi tofauti ukanda huu...tanzania na ethiopia hamna tofauti na Somalia..nyote mmepewa red card..
 
Huku bongo wakenya wapo kwenye viwanda vya wahindi wana roho mbaya hatari na kupika majungu wakiambiwa kazi basi hata kulia wanalia na hawataki rudi kwao halafu humu wanaleta mbwembwe
 
Huku bongo wakenya wapo kwenye viwanda vya wahindi wana roho mbaya hatari na kupika majungu wakiambiwa kazi basi hata kulia wanalia na hawataki rudi kwao halafu humu wanaleta mbwembwe
hasira tulia usipatwe na heart attack...meanwhile
 
pole kwa hasira lakini.. .Kenya tunawagawia uchumi na bado tunaongoza...hakuna competition hapa...yaani ndio nchi pekee ynye rangi tofauti ukanda huu...hamna tofauti na Somalia..
Huo ndio ukweli unaoukataa, kama kweli mngekuwa mnapata hizo pesa msingelala kwenye mabanda ya Kibera, distribution ya uchumi ni muhimu sana, otherwise ni sawa na south Africa walio wengi wanashangilia lakini ni asilimia 15 tu ya watu ndiyo wanaofaidika, sasa kama kwako muhimu ni figure tu, endelea kulala Kibera sisi huku tunafaidi matunda ya uchumi wetu
 
mitanzania ni mjininga saa zingine hivi tunadhani hizo hela zitatoka leo au kesho na kwa mkupuo?
 
By the way, hawa mnawakujia lini...wapo kila kona jijini Nairobi kisha eti Tanzania ni mbinguni ilhali wenzenu wametoroka hali ya maisha magumu kule Tandale, Manzese n.k
 
Kampuni nyingi za ulinzi kuna wakina onyango huku bongo wakenya ndio maana hata kupigana hamuoni shida poleni sana maana kazi kuonesha figure ambayo haina uhalisia kwenye maisha ya moja kwa moja
 
Kampuni nyingi za ulinzi kuna wakina onyango huku bongo wakenya ndio maana hata kupigana hamuoni shida poleni sana maana kazi kuonesha figure ambayo haina uhalisia kwenye maisha ya moja kwa moja
meanwhile from Manzese
 
By the way, hawa mnawakujia lini...wapo kila kona jijini Nairobi kisha eti Tanzania ni mbinguni ilhali wenzenu wametoroka hali ya maisha magumu kule Tandale, Manzese n.k
Hiyo ndiyo Tofauti ya Kenya na Tanzania, wakati Kenya ikifuraia mabepari wachache na wanasiasa kuchukua uchumi na kuwaacha walio wengi masikini, na hao wakenya masikini wanakuwa na furaha kwa kuona maghorofa yakinyenyuka kila siku, ilhali wenyewe wanalala kwenye mabanda ya mabati, Tanzania wanahakikisha kile kidogo kinachopatikana kinagawanywa katika uwiano wa haki
 
what abt hao omba omba wa tz waliojaa Kenya?? mlikosa kuwagawia angalau kwanini? kalale tu ndugu, naona nikama stress za Manzese zimekujaa nikama hali si hali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…