joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Tell me my brother any country in this world where only 8,300 people control 2/3 of the economy, unajua mtu yeyote mwenye busara hawezi hata kidogo kujigamba na uchumi wa aina hiyo, ni aibu kubwa sanaYour disparate my friend. Think about majority . Don't act like madman
leo umelia sana nduguTell me my brother any country in this world where only 8,300 people control 2/3 of the economy, unajua mtu yeyote mwenye busara hawezi hata kidogo kujigamba na uchumi wa aina hiyo, ni aibu kubwa sana
una matatizo ya kiakilihivi Kati ya Kenya na Ethiopia ni ipi tajiri??
kuna tuhuma hapo za watu kulala kwny mabati,vp una lolote la kuongea kuhusu hilo?,nchi yenye uchumi mkubwa ukanda wetu watu wanalala kwenye green houseleo umelia sana nduguila namba bado mtaendelea kuisoma....uchumi wetu tunawagawia $10 Billion na bado hamtufikii mfano, uchumi wa Nairobi pekee yake ni 42B...uchumi wa tanzania nzima 47B
Tatizo lako ukibanwa na hoja za msingi unaanza kufanya jokes, this is a very important and serious point am putting on the table, or for you this situation is normal and you don't care at all?, only 8,300 individuals to own $50B, and the remaining 45M people to share $20B, is this ok for you?leo umelia sana nduguila namba bado mtaendelea kuisoma....uchumi wetu tunawagawia $10 Billion na bado hamtufikii
mabati yapo mpaka Marekani...tuseme tu wingi wa mabati kule si kama ilivyo Africa...mabati yapo China ilhali ndio nchi yenye uchumi wa pili duniani..Afrika Kusini, Egypt na Nigeria wana slums mbaya sana.....kwa hiyo, thats not an excuse...poverty is everywhere...hata Tanzania zipo nyumba za mabati na matopekuna tuhuma hapo za watu kulala kwny mabati,vp una lolote la kuongea kuhusu hilo?,nchi yenye uchumi mkubwa ukanda wetu watu wanalala kwenye green house
Zile zilikuwa kwa ajili ya sekta ya afyaZile za biligate zilikua zaidi ya hizo si azitumie
sawa wacha niwe serious....niulize swaliTatizo lako ukibanwa na hoja za msingi unaanza kufanya jokes, this is a very important and serious point am putting on the table, or for you this situation is normal and you don't care at all?, only 8,300 individuals to own $50B, and the remaining 45M people to share $20B, is this ok for you?
How do you explain this scenario, whereby only 8,300 people control $50B, and the rest only control $20B?sawa wacha niwe serious....niulize swali
well first of all, I doubt that you have evidence that proves that its only 8300 people in Kenya who control $50B...let me remind you that th richest person in Kenya bado hajafikisha $1B...kwa hiyo sijui watu 8300 wata control aje a whole $50B...pengine uniletee data...How do you explain this scenario, whereby only 8,300 people control $50B, and the rest only control $20B?
http://www.businessdailyafrica.com/...-wealth/-/539546/2213834/-/md5kpfz/-/index.htwell first of all, I doubt that you have evidence that proves that its only 8300 people in Kenya who control $50B...let me remind you that th richest person in Kenya bado hajafikisha $1B...kwa hiyo sijui watu 8300 wata control aje a whole $50B...pengine uniletee data...
Hiyo link niliyokutumia umeiona?, ninaomba tuendelee na mjadala huu. Je wewe unadhani real GDP per capital inapaswa itumike $70B au $20B?, be honest pleasewell first of all, I doubt that you have evidence that proves that its only 8300 people in Kenya who control $50B...let me remind you that th richest person in Kenya bado hajafikisha $1B...kwa hiyo sijui watu 8300 wata control aje a whole $50B...pengine uniletee data...
myopic dude.meanwhile
pole kwa hasira lakini...Kenya tunawweza tukawagawia uchumi na bado tunaongoza...hatuna competition hapa...yaani sisi ndio nchi pekee ynye rangi tofauti ukanda huu...tanzania na ethiopia hamna tofauti na Somalia..nyote mmepewa red card..
We maza fanta huna Kazi kila siku wakenya tu nenda kaolewa KenyaWe fata mambo yako bana
Zimbabwe bado iko juu especially pande ya miundo mbinu, Tz can't match them in any way.haya ma stats sijui inayaokota wapi!!??
ona eti Zimbabwe inaipita Angola halafu iko sawa na Botswana na Namibia. ila elimu ni kitu muhimu. yaani unashindwa ku interpret hiyo thematic map na kujua uongo wake uko wapi!!
Kweli mkuu.hivi kenya na matatizo yao yote hayo bado kuna watu wanajilinganisha na hio nchi kila siku.tubadilike.huwez kwenda popote kama kila kukicha tunajifananisha na nchi za kawaida ambazo hakuna mengi ya kujifunza.ajabu sana.hata hio nigeria si kitu.Watanzania wakati mwingine ni kama washamba sasa OK tumepata ya nini kukaa na kujilinganisha na wakenya? tunakosea Sana kujilinganisha na Kenya au Rwanda sijui Uganda sisi tulitakiwa tuwe ligi moja na Nigeria Egypt Morocco na South Africa tuache ushamba kitu kidogo tu kufungua uzi wa majigambo tubadilike wa waTanzania wenzangu
Khaa ati Nigeria wanaopitisha wiki nzima bila umeme!Kweli mkuu.hivi kenya na matatizo yao yote hayo bado kuna watu wanajilinganisha na hio nchi kila siku.tubadilike.huwez kwenda popote kama kila kukicha tunajifananisha na nchi za kawaida ambazo hakuna mengi ya kujifunza.ajabu sana.hata hio nigeria si kitu.
Tena chuki inaonekana dhahiri kama ile post ya mtu mmoja eti hizo tulizopata ["mbona ndogo."]Wenzako wanachukia kinoma ukianza kuongea namna hii.
Sasa unayempangia cha kupost ni nani kwa mfano? Wewe kama nani?We maza fanta huna Kazi kila siku wakenya tu nenda kaolewa Kenya