special Agent MOSSAD
Member
- Sep 28, 2017
- 57
- 86
Kaa utafakari ule mradi sgr sio mdogo mzeeZile za biligate zilikua zaidi ya hizo si azitumie
Hata ukinunua baiskeli wakati hukuwa nayo hutaacha kujipongeza hata km jirani yako ana gari.Watanzania wakati mwingine ni kama washamba sasa OK tumepata ya nini kukaa na kujilinganisha na wakenya? tunakosea Sana kujilinganisha na Kenya au Rwanda sijui Uganda sisi tulitakiwa tuwe ligi moja na Nigeria Egypt Morocco na South Africa tuache ushamba kitu kidogo tu kufungua uzi wa majigambo tubadilike wa waTanzania wenzangu
Ndio Mara ya kwanza wapata kusikia income inequality? As a country's economy expands, so does its inequality since the bottom third tend to hardly improve their economic situation in correlation to the entrepreneurial top portion.Hiyo link niliyokutumia umeiona?, ninaomba tuendelee na mjadala huu. Je wewe unadhani real GDP per capital inapaswa itumike $70B au $20B?, be honest please
Zimbabwe bado iko juu especially pande ya miundo mbinu, Tz can't match them in any way.
Ifikapo 2025 TZ itakuwa nchi ya ulimwengu wa kwanza.Itabidi tujiandae kupokea wahamihaji haramu zaidi.Unauwa watu na kimbiza kimbiza hii
ila Magu kaelezea pia Suala lile la Bwawa la umeme!
Awamu hii Tutaheshimiana tu
Kaka kweli unakataa kuamini taarifa iliyoandikwa na mwandishi wa Business Daily which is reputable, credible and professional international Newspaper, tena sio kwamba walichokiandika wametoa kichwani, wao wametoa matokeo ya research iliyofanywa hapo Kenya, kama kuna kosa moja la kimahesabu haliwezi kufuta taharifa ya ripoti nzima ya utafiti kama ilivyoripotiwa hapo, badala yake ungechukua hiyo $50B ukagawanya kwa hao watu 8,300 ungepata wastani.Ndio Mara ya kwanza wapata kusikia income inequality? As a country's economy expands, so does its inequality since the bottom third tend to hardly improve their economic situation in correlation to the entrepreneurial top portion.
Lakini hio link nayo yaongea upuzi. if the average wealth of these 8300 HNWI is $83mn, that would put their total wealth at $688.6bn US Dollars, huh? Ata the total EAC economy haijafika nusu ya hio figure, shoddy journalism
In Tz, the top 10% own 31% of your economy. in Kenya, the disproportionate ownership of the economy by the top 10% increases to 39%.
United Republic of Tanzania Income Inequality Income share held by highest 10%, 1960-2016 - knoema.com
Kenya Income Inequality Income share held by highest 10%, 1960-2016 - knoema.com
Sasa ukienda USA just 1% of the population owns a whooping 38.6% of the economy! Kwa hivyo TZ iko pema kuliko USA?
Record inequality: The top 1% controls 38.6% of America's wealth
Your dreams are valid.Ifikapo 2025 TZ itakuwa nchi ya ulimwengu wa kwanza.Itabidi tujiandae kupokea wahamihaji haramu zaidi.
asanteYour dreams are valid.
Kama kawaida, mtasifu midata inayohujumu taifa la Kenya, hata iwe mbovu ajeKaka kweli unakataa kuamini taarifa iliyoandikwa na mwandishi wa Business Daily which is reputable, credible and professional international Newspaper, tena sio kwamba walichokiandika wametoa kichwani, wao wametoa matokeo ya research iliyofanywa hapo Kenya, kama kuna kosa moja la kimahesabu haliwezi kufuta taharifa ya ripoti nzima ya utafiti kama ilivyoripotiwa hapo, badala yake ungechukua hiyo $50B ukagawanya kwa hao watu 8,300 ungepata wastani.
Kweli uzalendo utakusumbua sana, sasa unapingana na Business Daily report, lakini unataka kutumia report ya " Konaema.com", kwanza nijulishe hili ni shirika gani?, wanajihusisha na kuandika habari za uchumi, michezo au siasa, au ni NGO ya nchi gani,..Tafadhali sana nijulishe hawa jamaa ili nianze kuwafuatilia, usipofanya hivyo nitahisi umejiandikia wewe mwenyewe ili kupingana na ukweli mchungu.
We maza fanta huna Kazi kila siku wakenya tu nenda kaolewa Kenya
Kaka ni kosa kubwa sana kulinganisha uchumi wa marekani au Japani na hizi nchi zetu kwa sababu, muhimu duniani ni wananchi wa nchi husika kuvuka kima cha chini cha mahitaji ya msingi, hizo marekani na Japani karibu wananchi wao wote wameshavuka mahitaji ya msingi. Nikupe mfano, kama shuleni ni kwamba kila mtu amepata marks za kumuweze kujiunga na chuo kikuu, ila kuna wengine wamepata B na wale waliopa A+. Karibu raia wote wa marekani wanapata basic needs.Kama kawaida, mtasifu midata inayohujumu taifa la Kenya, hata iwe mbovu aje
Sasa ukiwa na Google mbona uniulize maswali unayoweza jitafutia mwenyewe kaka? Business daily is just a newspaper reporting happenings. Na ndio ujue they do no research but instead relay info on the research of others, wanareport tu very big errors bila hata kupitia na kukosoa.
Knoema on the other hand is a research agency with access to over 500 databases. They've been legal consultants of Russia (perm), India (Bangalore) and the Zambian govt. Their HQ is in the US. Their stats on inequality are thanks to a collaborated research with the UNDP, IMF and the WB.
I know which of the 2 I'll trust
Kisha hebu toa mchango kuhusu inequality in the US vile nimepost in comparison to that in Kenya and Tanzania
Sawa kabisa, umenena vyema.Kaka ni kosa kubwa sana kulinganisha uchumi wa marekani au Japani na hizi nchi zetu kwa sababu, muhimu duniani ni wananchi wa nchi husika kuvuka kima cha chini cha mahitaji ya msingi, hizo marekani na Japani karibu wananchi wao wote wameshavuka mahitaji ya msingi. Nikupe mfano, kama shuleni ni kwamba kila mtu amepata marks za kumuweze kujiunga na chuo kikuu, ila kuna wengine wamepata B na wale waliopa A+. Karibu raia wote wa marekani wanapata basic needs.
Njoo huku Afrika, karibu wananchi wote hawapati basic needs, only few get everything, kama kila mwananchi wa japan anauhakika wa kupata $2000 per month, then kuna 1% ya population inapata $5M per month, this is not an issue, if you compare with Kenya where 8,300 get $300,00 per month, and 45M people each gets less than $30 per month
Kwanza mimi sikulinganisha Tanzania na Kenya, mimi nilizungumzia uchumi wa Kenya kuwa very unequal, ndiyo msingi wangu wa kuweka ile link ya gazeti la Business Daily, wakati wa kulinganisha Tanzania na Kenya ukifika nitafanya hivyo na utaona ni kwa kiasi gani mwananchi wa Tanzania alivyo na nafuu ukilingwnisha na Kenya.Sawa kabisa, umenena vyema.
Inequality shows the skew in distribution of income but is in itself not an exclusive indicator of how developed or underdeveloped a country is. For that we look at the HDI.
You'll in fact find the poorest countries having the lowest inequality (kila mtu mchochole, tofauti ya walio nacho na wakosacho dogo sana) while the largest/most advanced economies have very large inequalities (A huge number of HNWI billionaires vs a large number of the bottom 3rd)
HDI yaangazia maswala muhimi katika maisha ya binadamu kama vile umbali na hospitali na barabara za lami, idadi ya walio na stima na waliofika shuleni, mapato ya watu etc. This has enabled countries to be split into 3 regions:- developed (very high HDI), medium developed (high and medium HDI) and low developed (low HDI)
Kenya ni medium developed ilhali Tanzania LDC. So eti kwasababu tuna uchumi mkubwa tu, bali pia tuna watu zaidi wanaoishi karibu na lami, walioenda shule, walio na mapato makubwa, walio karibu na hospitali inayowatibu etc.
Habari zilizotujia hivi karibuni, kuwa acacia wamekataa kulipa pesa hizo za kuonyesha imani.Wakati Jimi Wanjigi akiendelea kutrend Kenya Tanzania wanapokea bil 700 kama kama hela ya kuonesha imani ya pande mbili za Barrick na Tz gov (Wakati tunasubiria the fatter cheque).
Magufuli amesema hela hiyo ikitoka tu anaomba apewe haraka,bila shaka huu na kwa uhakika kabisa huu mzigo unaenda kutumika kama gharama za mwanzo ktk SGR phase ya 3 kutoka Dodoma kwenda Tabora.mpaka sassa 850 km down bado 381 km kufika Mwanza (Tabora Isaka -133km na Isaka Mwanza -248Km).
Watu wasipokuwa makini tutafika Uganda mapema kuliko nchi yeyote ile.
Very many incorrect statements from youKwanza mimi sikulinganisha Tanzania na Kenya, mimi nilizungumzia uchumi wa Kenya kuwa very unequal, ndiyo msingi wangu wa kuweka ile link ya gazeti la Business Daily, wakati wa kulinganisha Tanzania na Kenya ukifika nitafanya hivyo na utaona ni kwa kiasi gani mwananchi wa Tanzania alivyo na nafuu ukilingwnisha na Kenya.
Tofauti kubwa ya kipato miongoni mwa nchi masikini kama hizi zetu madhara yake makubwa ni political instability kama inavyotokea Kenya, kama mwananchi hana kazi inayomuhakikishia kupata basics need, ni rahisi sana kujiingiza katika ujambazi, idadi kubwa ya vitendo vya ujambazi na kuzorota kwa usalama Kenya ni kwa sababu hiyo, pia watu wengi wanakuwa hawashiriki wala kufaidi matunda ya uchumi wao wanakuwa na chuki, ni rahisi sana kudanganywa na politicians kwa misingi ya kikabila hivyo kufanya fujo wakihisi kuna kabila fulani ndilo linalopendelewa na mfumo wa uongozi ulipo madarakani.
Tanzania imefanikiwa sana kupunguza tofauti za kipato miongoni mwa wananchi wake, japo mishahara ni midogo lakini watu waliowengi wanaridhika kwa sababu wanajua ni midogo kwa sababu uchumi wa nchi hauwezi kubeba mzigo wa mishara mikubwa, sio kwa sababu pesa nyingi inachukuliwa na watu wachache na walio wengi wanapata kidogo sana, kumbuka 52% ya bajeti ya Serikali ya Kenya ni kwa ajili ya mishahara pekee, rais anapokea $14,000 per month, MCA anapokea very little compared to president.
Ukiangalia indicators zote zinaonyesha kwamba uchumi wa Tanzania ni more inclusive than that of Kenya, mtanzania ana nafasi kubwa ya kupata ajira kuliko mkenya, mtanzania ana uhakika wa kupata chakula kutokana na upatikanaji wa ardhi kuliko mkenya, mgawanyo wa pato la taifa kwa wananchi upo vizuri zaidi kwa Tanzania kuliko Kenya(Gini coefincence; Tanzania 37; Kenya 42 ).
kifupi community ya Tanzania is more equal than that of Kenya, hiyo ni legacy ya Ujamaa, ndiyo maana unaona Tanzania hakuna sana kubaguana kutokana na kipato au makabila, wala huwezi kuta slums kubwa, kwa sababu mfumo wa uchumi unawajali watu wote
Inaonekana kwa mbali unataka kuelewa somo, japo una hasira ya uzalendo kwa mbali, lakini ninaamini utaelewa tu, tuanze na moja baada ya lingine,Very many incorrect statements from you
1st, Tanzania is more equal to Kenya but the average Tanzanian is poorer than their Kenyan counterpart. Just the same way as Kenya is more equal (economically) than Colombia but the average Colombian lives a better life. Tazama miundo mbinu
2nd thing, insecurity isnt an indicator of how poor a country is. South Africa, Brazil, the USA all have much higher homicide, kidnappings and violence rates than Kenya yet all are a lot more developed. Tazama miundo mbinu
3rd thing, Discrimination. If you check racism in the USA you'll be stunned. Nyie watanzanzina Hamna ukabila lakini MNA ubaguzi Wa kidini, ambalo Kenya haina. Still doesn't show how underdeveloped a country is, Tazama miundo mbinu.
4th, poverty. There are more slums and they're mostly larger in Kenya than is in Tz, but yet there are more poor people in TZ than Kenya. Why? This is because of 2 phenomenons.
1st, urban Kenya is characterized by zoned development where kuna CBD, Industrial area, Transitional zone, High, medium and low income districts. Tz watu mara nyingi wajenga na kuishi popote tu kisingizio eti shamba ni lako, mpangilio si dhahiri. Ndiposa hamna slums kama za Kenya na vile vile Hanna estates kubwa kama za Kenya.
2nd, Kenya kuna urban poverty ilhali huko Tz in rural poverty. Ukienda vijijini Kenya, watu wengi wana nyumba nzuri, Walima Cash crops kwa hivyo kipato kizuri, lami haipo mbali kwa hivyo usafirishaji Wa nafaka mpaka viwandani si tatizo kubwa, hospitali zipo karibu wadi zote. Ukifika mjini ndipo tatizo kuu laanza. Tz nayo asilimia kubwa ya watu vijijini ni nyumba la tope linalo bomoka, lami na hospitali ni makilomita mbali, wanachopanda mara nyingi ni nafaka kama mahindi na mihogo tu ya kuwalisha, mazao ya juu yaja kuuzwa Kenya tujisagie wenyewe na viwanda zetu.
Kwa mishahara, ni Magu tu ndio amepunguza mshahara wake, Kikwete alikua alipwa zaidi ya Kenyatta kwa hivyo usijigambe na pato LA wanasiasa.
Kama hujui ni kwamba, BARRICK wana shares ya 64%kwenye hiyo migodi,na ikiwa kuna maafikiano yyote kati ya Serikali na BARRICK, ACACIA must comply.hivyo mwenye kauli ya kulipa au kutolipa ni BARRICK.Habari zilizotujia hivi karibuni, kuwa acacia wamekataa kulipa pesa hizo za kuonyesha imani.