Tanzania kwenda Afcon tena

Tanzania kwenda Afcon tena

Mkola Tz

Member
Joined
Sep 10, 2021
Posts
18
Reaction score
15
Inawezekana Tanzania ikaenda tena Afcon endapo tu chama cha soka cha Equatorial Guinea kitashindwa kulipa faini waliopigwa shirikisho la mpira FIFA ndani ya siku 30.

Equatorial Guinea 🇬🇶 walipigwa faini ya kiasi €644,000 baada ya kushindwa kuwalipa makocha waliopita wa timu ya taifa ya wanaume na timu ya taifa ya wanawake Esteban Becker & Miguel Angel Pozanco.

Ikumbukwe Equatorial Guinea walikua kundi moja na Tanzania kuwania kufuzu Afcon 2021.
 
Inawezekana Tanzania ikaenda tena Afcon endapo tu chama cha soka cha Equatorial Guinea kitashindwa kulipa faini waliopigwa shirikisho la mpira FIFA ndani ya siku 30.

Equatorial Guinea 🇬🇶 walipigwa faini ya kiasi €644,000 baada ya kushindwa kuwalipa makocha waliopita wa timu ya taifa ya wanaume na timu ya taifa ya wanawake Esteban Becker & Miguel Angel Pozanco.

Ikumbukwe Equatorial Guinea walikua kundi moja na Tanzania kuwania kufuzu Afcon 2021.
Sa itakuwaje
 
Dah!...huu mpira wa kuomba mwingine akwame ili wewe upate nafasi hautufai.
 
Back
Top Bottom