Sa itakuwajeInawezekana Tanzania ikaenda tena Afcon endapo tu chama cha soka cha Equatorial Guinea kitashindwa kulipa faini waliopigwa shirikisho la mpira FIFA ndani ya siku 30.
Equatorial Guinea 🇬🇶 walipigwa faini ya kiasi €644,000 baada ya kushindwa kuwalipa makocha waliopita wa timu ya taifa ya wanaume na timu ya taifa ya wanawake Esteban Becker & Miguel Angel Pozanco.
Ikumbukwe Equatorial Guinea walikua kundi moja na Tanzania kuwania kufuzu Afcon 2021.
Wanafikiri kwa kutumia akili ya Biashara United. Tanzania tuna tabuMnategemea kweliii ET Equatorial atashindwa kulipa hiyo faini Hakuna mbeleko hapo Tanzania tulishindwa wenyewe Imeisha hiyo
Yan Tanzania kwa mihemuko apo wanachukulia kirahis tu ET tuna nafas yan kwa sasa tumebakiza nafas moja tu hiii ya kombe la dunia basWanafikiri kwa kutumia akili ya Biashara United. Tanzania tuna tabu
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app