Tanzania kwenda kombe la dunia labda kwa viti maalum

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Haina ubishi, kila mtu anaona timu zetu zote, kwanzia Taifa stars, Twiga stars, na madogo wetu Serengeti boys...


Tutaenda kombe la dunia kwa njia gani kama sio vitu maalum?[emoji849][emoji849][emoji849]??
 
Hahahahahahahaha

Em nicheke tu mi maana hakuna namna
Haina ubishi, kila mtu anaona timu zetu zote, kwanzia Taifa stars, Twiga stars, na madogo wetu Serengeti boys...


Tutaenda kombe la dunia kwa njia gani kama sio vitu maalum?[emoji849][emoji849][emoji849]??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa mkuu tusemeje mana hakuna hata m1 mwenye uwez, Afcon kwenyewe ni baada ya tim kuwa 24
Mkuu we acha tu ndo maana mi nikasema acha nijichekee tu maana hakuna namna

Na kichwa cha thread yako mi nacheka yu hapa nikisubiri FIFA wapitishe ishu ya viti maalum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutegemee kuongezeka kwa timu za kufuzu kufikia 120 na timu zipangwe kikanda tena, eg, tz, kenya,burundi na komoro kundi g ndo kiulaiiini utatuona world cup

kote hakufai
 
Haina ubishi, kila mtu anaona timu zetu zote, kwanzia Taifa stars, Twiga stars, na madogo wetu Serengeti boys...


Tutaenda kombe la dunia kwa njia gani kama sio vitu maalum?[emoji849][emoji849][emoji849]??
Kuna mwehu moja asubuhi alidai eti Tz sasa iko juu East & central Africa . Tena akadai ni kwa kila kitu !!!

Ujinga mtupu.
Sisi tunachoweza tu kunyanyasa raia wetu. Tena kwa kujifanya eti sisi super power.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu we acha tu ndo maana mi nikasema acha nijichekee tu maana hakuna namna

Na kichwa cha thread yako mi nacheka yu hapa nikisubiri FIFA wapitishe ishu ya viti maalum

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itabidi tupeleke maombi FIFA mana itasaidi yale mataifa yanayoshindwa kufuzu
 
Tutegemee kuongezeka kwa timu za kufuzu kufikia 120 na timu zipangwe kikanda tena, eg, tz, kenya,burundi na komoro kundi g ndo kiulaiiini utatuona world cup

kote hakufai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Option ingine hii mzee baba
 
Dah! Sijui tunakosea wapi?


Tatizo kubwa la watatnzania tunakuwa mashabiki wa vilabu,

Bila mashabiki Simba isingemfunga As Vita,Nkana Fc,Mbabane,Al Ahly hizi timu zote zilifungwa pale uwanja wa Taifa kwa sababu ya mashabiki

tunashindwa nini kwenda uwanja wa Taifa kuishabikia Serengeti boys kama tunavyoishabikia Simba ikicheza na Al Ahly?

Hiv Serengeti boys wangeshindaje bila mashabiki?

Siwalaumu vijana lakin....
 
huko ugenini mbona wanacheza bila mashabiki hata ubingwa COSAFA walibeba? sidhani kama hilo ndio tatizo.
 
!
!
Bashite Nguvu Gunia Akili Kijiko Kawekeza Kwenye Uhamasishaji. Wao Wakiona Mashindano Ndio Wanaanza Kujionesha Na Kuweka Siasa Zao. Na Tutapigwa Kudadadeki Hadi Basi. Labda Tuombe Kuandaa Kombe Ili Tupate Teuzi"
 
We jamaa yangu dah.., viti maalum wengi si wanasema ni michepuko..[emoji23][emoji23][emoji23] ?
Sasa timu ikiwa imeenda kwa viti maalum, hapo ime kaaje..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa yangu dah.., viti maalum wengi si wanasema ni michepuko..[emoji23][emoji23][emoji23] ?
Sasa timu ikiwa imeenda kwa viti maalum, hapo ime kaaje..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna uwezo wa kugombea bora FIFA waweke viti maalum kwa ajili ya wasioweza kupambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…