hausa urrasa
Member
- Jan 11, 2017
- 71
- 26
Ya karumazira sioMkuu inatushinda CHAN, CAF, huko sio saizi yetu. Sisi yetu ni yaleeeeeee.....Ushanielewa
Naona hata rushwa itashindikanaLabda kwa rushwa
Hahahahahahahahahahahahahadi tutakapokuwa nchi wenyeji
Co poa mpaka mtu anakuwa fuvu bado tutakua atujaingia
Hahahahaha viwanda vyenyew cvioni😀 tanzania ya viwanda
Hahahahaha viwanda vyenyew cvioni
Kwamana mkakati wa serikali cjajua ni kipi wamepanga
Ha ha haa ndio hapo sasa..
Cdhani kam atawezaTumtumie jecha bas ka vipi wakuu
Ucishiwe nguv cha kushukur n kwamba baadh ya vtu vimefanyiwa kaz kiasi chakeMkuu..Siku anatangazwa kuwa yeye ndiye.. nilifurahi mno, nikajua sasa shida imetoweka! lakini sjajua madhara yatakayotokea! yani nimeishiwa nguvu kabisa..ni heri nikae bila chama tu..