Aisee fanyeni mambo yenu bila kuitizama Kenya na kungoja tudhubutu ili muige. Hakuna aliyewazuia kuchangamkia hizi fursa. Kenya hatuna 'common border' na DRC. Leo hii mkiamua kuchangamkia fursa kule S.Sudan hutawasikia wakenya wakilialia.
naona unaota ndoto za mchanaHehehe!! Jamaa wanan'gaka balaa, wao wameishi kuzunguka mbuyu na hao majirani zao, sisi leo hii tunaunganisha bahari za Hindi na Atlantic
Walijiona lulu walipokuwa wakiwazingua wahafidhina wa ukoo wa Kabila. Leo hii kumeibuka nyota mpya Tshisekedi ambaye ana nia ya kuchukua mkondo mpya . Anafanya kweli jombaa, hana muda wa longolongo na ukajanja wao.Hehehe!! Jamaa wanan'gaka balaa, wao wameishi kuzunguka mbuyu na hao majirani zao, sisi leo hii tunaunganisha bahari za Hindi na Atlantic
You stole Uganda from us, we raided DRCWarning shots fired. The just elected President of DRC is a Kenyaphile. Tanzanian diplomats liangalieni hili msikubali DRC, a long time ally of Tanzania, iingie kwenye sphere of influence ya Kenya!
Wakenya hamjui mnachoongea na hamjui haya mambo yanaendaje hahahahahahaha...#daydreamersYou stole Uganda from us, we raided DRC
Na hii ya kutokuwa na common border na DRC itawaumiza labda mpitie S.Sudan.Aisee fanyeni mambo yenu bila kuitizama Kenya na kungoja tudhubutu ili muige. Hakuna aliyewazuia kuchangamkia hizi fursa. Kenya hatuna 'common border' na DRC. Leo hii mkiamua kuchangamkia fursa kule S.Sudan hutawasikia wakenya wakilialia.
You are yet to win this one brotherYou stole Uganda from us, we raided DRC
Ndio hivyo sasa, kila mtu afanye yake bila ya kulialia na kuona vivuli vikimfata. Kule DRC benki za Kenya ndio zinaongoza, kwenye insuarance, hivyo hivyo. Ngoja wafanyikazi wa umma wa DRC waje Kenya kupata mafunzo kwenye taasisi za GoK ndio tuzidi kuboresha ushirikiano wetu.Na hii ya kutokuwa na common border na DRC itawaumiza labda mpitie S.Sudan.
Msijifanye kuwa ninyi ndio mmewahi fursa, tulisha watangulia in some area like mineral processing. baada ya makubaliano kukamilia DRC will be using smelters and other mineral processing plants to from Tanzania to process its raw cobalt kwa ajili ya masoko ya nje. jiulize why tanzania and not Kenya utapata majibu
Nani kalia? Naona mnatafuta pa kuounguzia madeni maana China karibu atawamiliki.Ndio hivyo sasa, kila mtu afanye yake bila ya kulialia na kuona vivuli vikimfata. Kule DRC benki za Kenya ndio zinaongoza, kwenye insuarance, hivyo hivyo. Ngoja wafanyikazi wa umma wa DRC waje Kenya kupata mafunzo kwenye taasisi za GoK ndio tuzidi kuboresha ushirikiano wetu.
Jombaa, labda umejitosa kwenye comments kabla ya kusoma bango la mleta mada. Wakenya wanazifata na wamekuwa wakizifata hizo Fursakibao tangu enzi zileee. Huu mchezo hauhitaji hasira.Nani kalia? Naona mnatafuta pa kuounguzia madeni maana China karibu atawamiliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada alikuwa anatoa maoni sio kulia.Jombaa, labda umejitosa kwenye comments kabla ya kusoma bango la mleta mada. Wakenya wanazifata na wamekuwa wakizifata hizo Fursakibao tangu enzi zileee. Huu mchezo hauhitaji hasira.
Ndio hayo hayo, maoni ya kulialia, hadi machozi yamechanginyakana na ute na kamasi.[emoji1]Mtoa mada alikuwa anatoa maoni sio kulia.
Tofautisha maoni na kulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ya kutokuwa na common border na DRC itawaumiza labda mpitie S.Sudan.
Msijifanye kuwa ninyi ndio mmewahi fursa, tulisha watangulia in some area like mineral processing. baada ya makubaliano kukamilia DRC will be using smelters and other mineral processing plants to from Tanzania to process its raw cobalt kwa ajili ya masoko ya nje. jiulize why tanzania and not Kenya utapata majibu
Umesahau mafuta..Na hii ya kutokuwa na common border na DRC itawaumiza labda mpitie S.Sudan.
Msijifanye kuwa ninyi ndio mmewahi fursa, tulisha watangulia in some area like mineral processing. baada ya makubaliano kukamilia DRC will be using smelters and other mineral processing plants to from Tanzania to process its raw cobalt kwa ajili ya masoko ya nje. jiulize why tanzania and not Kenya utapata majibu
Naona wanaota mchana...Wakenya hamjui mnachoongea na hamjui haya mambo yanaendaje hahahahahahaha...#daydreamers
Sent using Jamii Forums mobile app